Home Search Countries Albums

Boss Mpya

NACHA Feat. GNAKO

Boss Mpya Lyrics


Na venye walikuwa wanakesha
Kumwaga pesa hakuna msondo
Na jiji nzima walitutesa
Na leo wanachekwa nyumbani ndondo

Boss pekee ambaye natesa, tesa
Kipindi Magu kabana pesa
Niulize nauza dawa ama
Nilitunza enzi za Jakaya ama

Bandale ama madale
Miguu ya kuku kwetu nosa tukambale
Kama jabale, kacheze na wale
Wananiita boss kubwa boss kabambe

Believe that, sijasoma ila naongea kizungu
Nikinywa panzi kanywa soda na bado kazima
Mshamba mwenye subi leo nateka hadi jina
Wananiita benki ndogo wakina Amina

Baa naitwa Said Mwamba kizota
Nazungusha dimba bila hata kuchoka
Hakuna namna, kunywa wana 
Na msijali vocha zipo ka mnara ukisimama

Ni kujichana, 
Kulindana ni habari za nyumbani za watoto kina mama 
Sio Kulichana, mi ni Nacha toka Bongo Tz
Sio Sacco kule Ghana, ni boss mpya, toto mpya
Na viwanja pia vipya vya zamani havina maana 

Nageuza joto kuwa baridi(Baridi)
Boss mpya ndani ya jiji(Ya Jiji)
Beki hazikabi pande hizi(Hiziii)
Boss mpya ndani ya jiji(Eazy wowooo)

Eeh na party iko next door ama
Choma choma nalipia mimi hizo nyama
Vipi na ni wapi kunawaka Dar? 
Ligi zangu sio kichui ya labda samata

Nenda Tabata, Kimanga kasake kiwanja 
Ukifika Kimara suka
Simtaki Kidoti, Kajala, na Wema na Wolper
Maana kilomita zimekata

Na na chini ninamopa, koti kadinda
Kazi ni moja, we kunywa nitalipa
Aah unacheka? Hakuna namna kunywa wana
Na msijali vocha zipo ka mnara ukisimama

Ni kujichana, 
Kulindana ni habari za nyumbani za watoto kina mama 
Sio Kulichana, mi ni Nacha toka Bongo Tz
Sio Sacco kule Ghana, ni boss mpya, toto mpya
Na viwanja pia vipya vya zamani havina maana 

Nageuza joto kuwa baridi(Baridi)
Boss mpya ndani ya jiji(Ya Jiji)
Beki hazikabi pande hizi(Hiziii)
Boss mpya ndani ya jiji(Eazy wowooo)

Nageuza joto kuwa baridi
(Bongo Tz sio Sacco kule Ghana)
Boss mpya ndani ya jiji
(Ni habari za nyumbani za watoto kina mama)
Beki hazikabi pande hizi
(Viwanja pia vipya vya zamani havina maana)
Boss mpya ndani ya jiji(Eazy wowooo)
(Bongo Tz)

Nageuza joto kuwa baridi
(Bongo Tz sio Sacco kule Ghana)
Boss mpya ndani ya jiji
(Ni habari za nyumbani za watoto kina mama)
Beki hazikabi pande hizi
(Viwanja pia vipya vya zamani havina maana)
Boss mpya ndani ya jiji(Eazy wowooo)
(Bongo Tz)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2017


Album : Boss Mpya (Single)


Copyright : (c) 2017


Added By : Boss Mpya

SEE ALSO

AUTHOR

NACHA

Tanzania

Nacha Ousam is a musician from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE