Home Search Countries Albums

Muda

FOBY

Muda Lyrics


Moja ya ndoto zangu
Ndoto ni kuishi nawe milele
Upendo na hisia zangu
Upendo haujawahi shikwa na mwengine
Unaondoka sawa
Ila roho yangu umeishika wewe 
Kipenzi

Ningekuwa na Chawa
Ningemwagiza Kwako akuambie urudi
Sema ndo hakuna madoctor
Wa upendo wapime ujue
Athiriko nilivyoathirika Moyo

Nikidondoka niokote 
Na ukiumwa mi dawa
Tutapendana kivyovyote
Tulishachanjana

Sina lakusema lolote
Wakuchukue sawa
Mana mi ndo najua kwanini Nilikosa Muda

Ohh Kweli Mapenzi
Yanahitaji Muda
Kuchitiana, kugombana ni
Kwa sababu Ya Muda

Ohhh Mapenzi 
Yanahitaji Muda
Mi mwenyewe nateseka ni
Kwasababu ya Muda 

Kweli nimekosea
Na leo nakiri makosa kwako
Nilikuonea
Sikuwa na muda kabisa na wewe

Ulivumilia 
Ukiwa unajua nitabadilika wowooo
Kumbe ndo kwanza
Unaondoka sawa
Ila roho yangu umeishika wewe 
Kipenzi

Ningekuwa na Chawa
Ningemwagiza Kwako akuambie urudi
Sema ndo hakuna madoctor
Wa upendo wapime ujue
Athiriko nilivyoathirika Moyo

Nikidondoka niokote 
Na ukiumwa mi dawa
Tutapendana kivyovyote
Tulishachanjana

Sina lakusema lolote
Wakuchukue sawa
Mana mi ndo najua kwanini Nilikosa Muda

Ohh Kweli Mapenzi
Yanahitaji Muda
Kuchitiana, kugombana ni
Kwa sababu Ya Muda

Ohhh Mapenzi, yanahitaji Muda
Mi mwenyewe nateseka ni
Kwasababu ya Muda 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2022


Album : Me, Myself & I (EP)


Copyright : (C) 2022


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

FOBY

Tanzania

Frank Ngumbuchi, popularly known as FOBY, is a musician from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE