Home Search Countries Albums

Nivushe

JOEL LWAGA

Nivushe Lyrics


Mambo ni mengi nimepitia
Machozi ni mengi nimelia
Hata kicheko ni cha bandia
Kinafunika mengi ninayopitia

Ila najua, niko na Mungu
Yabidi isio na haya majuto
Tena si ya ulimwengu, ule uchao
Ila ni ya ulimwengu, huu wa leo

Eh Bwana, nivushe nivushe
Nivushe ng'ambo, nivushe ng'ambo, nivushe ng'ambo
Nivushe nivushe
Nivushe ng'ambo, nivushe ng'ambo, nivushe ng'ambo

Maana najua, si kusudi lako niishie hapa
Maana najua si kusudi lako nikwame
Maana najua, si kusudi lako niaibike
Maana najua si kusudi lako nianguke

Sa nyoosha mkono wako, univushe ng'ambo ya pili
Maana nimefika mwisho, wa uwezo wangu na akili
Nipe kuyaishi yale, mazuri uliyo niahidi
Nisiyaone kwa mbali, niyashike na kuyamiliki

Nivushe nivushe, nivushe ng'ambo
Nivushe ng'ambo, nivushe ng'ambo
Nivushe nivushe, nivushe ng'ambo
Nivushe ng'ambo, nivushe ng'ambo

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Trust (EP)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

JOEL LWAGA

Tanzania

Joel Lwaga is a gospel artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE