Home Search Countries Albums

Mimi ni wa juu

JOEL LWAGA

Mimi ni wa juu Lyrics


Kuna wakati wa giza
Mbele sioni najiuliza
Mbona kama hizi shida
Zimekawia kuisha

Katikati ya maswali
Nasikia sauti ndani
Imebeba ujasiri
Ikinitaka nikiri
Nikisema 

Mimi ni wa juu
Mimi ni wa juu
Mimi ni wa juu
Juu sana

Mimi ni wa juu
Mimi ni wa juu
Mimi ni wa juu
Juu sana

Sitafsiriwi kwa haya
Machozi na magumu
Mimi ni mshindi tu
Kamusi ndiye Mungu

Haijalishi ni giza
Yeye ni nuru yangu
Nitashishinda hii vita
Na yote yatakwisha

Nitasimama tena
Nitainuka tena
Mimi ni wa juu tu
Mimi ni wa juu tu

Nitasimama tena
Nitainuka tena
Mimi ni wa juu tu
Mimi ni wa juu tu

Mimi ni wa juu(ni wa juu sana)
Mimi ni wa juu(juu zaidi ya mawingu)
Mimi ni wa juu(juu sana)
Juu sana(nimeketishwa juu sana) 

Mimi ni wa juu(kwenye milele tu)
Mimi ni wa juu(nawaza yaliyo juu)
Mimi ni wa juu(juu saana)
Juu sana

Nawaza yaliyo(juu)
Nawaza yaliyo(juu)
Nawaza yaliyo(juu)
Juu, Juu sana 

Nawaza yaliyo(juu)
Nawaza yaliyo(juu)
Nawaza yaliyo(juu)
Juu, Juu sana 

Mimi ni wa juu(ni wa juu sana)
Mimi ni wa juu(haijalishi mazingira haya)
Mimi ni wa juu(haijalishi napitia nini)
Juu sana(yote yatapita)

Mimi ni wa juu(mimi nitashinda tu)
Mimi ni wa juu(kwa juu sana)
Mimi ni wa juu(juu sana)
Juu sana

Sitafsiriwi kwa haya
Machozi na magumu
Mimi ni mshindi tu
Kamusi ndiye Mungu

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Mimi ni wa Juu (Single)


Copyright : (c) 2019


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

JOEL LWAGA

Tanzania

Joel Lwaga is a gospel artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE