Home Search Countries Albums

Nimesogea

ZORAVO

Nimesogea Lyrics


Bwana tunalitukuza jina lako
Tunaribariki jina lako Mfalme wa wafalme
Mioyo yetu ina kiu na wewe siku zote
Ili tukuabudu wewe katika uzuri na utakatifu wako

Nimesogea enzini pako 
Ninakuabudu
Wewe ni mkuu, wewe ni mfalme
Umeinuliwa

Nimesogea enzini pako 
Ninakuabudu
Wewe ni mkuu, wewe ni mfalme
Umeinuliwa

Nimesogea enzini pako 
Ninakuabudu
Wewe ni mkuu, wewe ni mfalme
Umeinuliwa

Say
Nimesogea enzini pako 
Ninakuabudu
Wewe ni mkuu, wewe ni mfalme
Umeinuliwa

Say bwana wewe
Wewe ni mkuu, wewe ni mfalme
Umeinuliwa

Say 
Nimesogea enzini pako 
Ninakuabudu
Wewe ni mkuu, wewe ni mfalme
Umeinuliwa

Say bwana wewe
Wewe ni mkuu, wewe ni mfalme
Umeinuliwa

Nimesogea enzini pako 
Ninakuabudu
Wewe ni mkuu, wewe ni mfalme
Umeinuliwa

Halleluyah bwana
Twaliinua jina lako takatifu
Halleluyah bwana
Wewe ni mkuu, wewe ni mkuu

Halleluyah bwana
Twaliinua jina lako takatifu
Halleluyah bwana
Wewe ni mkuu, wewe ni mkuu

(Everybody say)
Halleluyah bwana
Twaliinua jina lako takatifu
Halleluyah bwana
Wewe ni mkuu, wewe ni mkuu

Wastahili, wastahili bwana
Wastahili, wastahili bwana
Bwana wastahili, wastahili bwana

Wastahili, wastahili bwana
Wastahili, wastahili bwana
Bwana wastahili, wastahili bwana

(Say wastahili bwana)
Wastahili, wastahili bwana
Wastahili, wastahili bwana
Bwana wastahili, wastahili bwana

(Say wastahili bwana)
Wastahili, wastahili bwana
Wastahili, wastahili bwana
Bwana wastahili, wastahili bwana

Wastahili, wastahili bwana
Wastahili, wastahili bwana
Bwana wastahili, wastahili bwana

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Nimesogea (Single)


Copyright : All rights to the owner.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

ZORAVO

Tanzania

Harun Laston aka Zoravo is a singer, songwriter, worshipper & minister  from Tanz ...

YOU MAY ALSO LIKE