Home Search Countries Albums

Waache Waongee

MADEE

Waache Waongee Lyrics


Waache waongee
Waache waongee
Waache waongee
Waache waongee
 
Siku ukipata chongoka bila sababu
Watafurahi wabongoke
Ila ikiwa wamechongoka kitu cha ajabu
Zitaanza longo longo(Hahahaha...)
 
Zitaanza lawama
Haongei na wana
Anauza unga, anatumia dumba
Amejiumba alafu anakunja kunja
 
Watu bwana, wanafanya
Nikifanya mimi wanasema natukana
Ona wanakwama, wanazama
Ni watoto wa kiume, haja ndogo wanachutama
 
Eeeh
Waache waongee(Watu bwana)
Waache waongee
Waache waongee(Hawana maana)
Waache waongee
 
Waache waongee(Watu bwana)
Waache waongee
Waache waongee(Hawana maana)
Waache waongee
 
Mwaka jana nilipandishwa kizimbani
Kelele zao nyingi nauza unga kitaani
Wakaja wazee, mamwere wakaniweka ndani
Wakataifisha mali, majumba na vya dhamani
 
Mungu Baba, nafanya ibada
Na nina roho nguma kama paka roho saba
Walinipa mada, akanga mimi sada
Na nikipatacho kidogo natoa misaada
 
Watu bwana, wanafanya
Nikifanya mimi wanasema natukana
Ona wanakwama, wanazama
Ni watoto wa kiume, haja ndogo wanachutama
 
Eeeh
Waache waongee(Watu bwana)
Waache waongee
Waache waongee(Hawana maana)
Waache waongee
 
Waache waongee(Watu bwana)
Waache waongee
Waache waongee(Hawana maana)
Waache waongee
 
Nikitaka kutoka, wanalenga kunishoot
Hawataki nivae moka, ninyonge tai nivae suti
Nishachoka kulea, zile mimba zao za chuki
Watu wanaongea, mbele ya Mungu ni mamluki
 
Ndio maana mimi(Waache waongee)
Milele najiami
If you feel me(Come on, come on)
Piga goti chini
Waache waongee...waache waongee

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Waache Waongee (Single)


Copyright : (c) 2019


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MADEE

Tanzania

...

YOU MAY ALSO LIKE