Nyanyasa Lyrics

Aaah aaaaah, unaninyanyasa
Unaninyanyasa unaninyanyasa
Unaninyanyasa unaninyanyasa
Mwili umekonda nimepungua
Haieleweki nachougua
Moyo kidonda unakwangua
Inauma sana
Mbele za watu unaniumbua sina la kusema
Visa unanifanyia japo navumilia
Iila naumia sana na siku ukijua
Kuwa unanikosea itakuwa too late
Japo unaninyanyasa
Baby unaninyanyasa
Wewe unaninyanyasa
Baby unaninyanyasa
Unaniangusha chini, aniokote nani?
Japo ujui dhamani yangu me
Nani ataitambua?
Kwanza kumbuka baby
Si tumetoka mbali
Ukiwa huna siwazi
Nimekubali tuijenge familia
Visa unanifanyia japo navumilia
Iila naumia sana na siku ukijua
Kuwa unanikosea itakuwa too late
Japo unaninyanyasa
Baby unaninyanyasa
Wewe unaninyanyasa
Baby unaninyanyasa
(Aaah aaaaah, unaninyanyasa)
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2017
Album : The African Princess / Nyanyasa (Album)
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
NANDY
Tanzania
NANDY aka The African Princess real name Faustina Charles Mfinanga (born Novemb ...
YOU MAY ALSO LIKE