Home Search Countries Albums

Chombo Ya Wana

SMILE THEGENIUS

Chombo Ya Wana Lyrics


Masikini moyo ata uweka wapi
Maana katu panga panga sijui tuko wangapi
Huuh huuh, kumbe chombo yawana
Niridhani kuwa nipo  pekeyangu
Huuh huuh, runde tutaowana
Kumbe nijupotezea muda wangu
Naajali katembea nawangapi
Katu bananisha utadhani miskaki
Ye mwenyewe anajiona ana bahati
Vile wana wanavyo Sukuma ka chapati
Mabawa kapita nae
Sultan king kapita nae
Berry black kapita nae
Nassir vanilla kapita nae

Aah aaah aah
Kumbe chombo ya wana
Aah aaah aah
Chombo ya wana
Aah aaah aah
Kumbe chombo ya wana
Aah aaah aah
Chombo ya wana

Si haba hana ukimwi
Angetuambukiza sote tunge kufa mbali
Yani mtanm ka nini
Sijaona popote kitandani hodari
Yani mashaallah ooh ooooh
Ameumbika kimaumbile ah ah ah
Ila limekuwa daraja la wengi
Nimevuka mimi utavuka na wewe
Tena kimuwa chakula cha wengi
Nimevuka mimi utavuka na wewe
Naajali katembea nawangapi
Katu bananisha utadhani miskaki
Ye mwenyewe anajiona ana bahati
Vile wana wanavyo Sukuma ka chapati
Meja kunta kapita nae
Master kapita nae
Piere liquid kapita nae
Eeh weeeh piere liquid
Eeh mama yangu

Aah aaah aah
Kumbe chombo ya wana
Aah aaah aah
Chombo ya wana
Aah aaah aah
Kumbe chombo ya wana
Aah aaah aah
Chombo ya wana

Anagawa gawa
Ana gawa gawa
Anagawa gawa
Ana gawa gawa
Anagawa gawa
Ana gawa gawa
Anagawa gawa
Ana gawa gawa

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Chombo Ya Wana (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

SMILE THEGENIUS

Tanzania

Smile TheGenius is a singer and songwriter from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE