Home Search Countries Albums

Tiamo Lyrics


Ya nurula in kwako sinaga maneno
Nipo tafarani nishafikaga kikomo
Na ulivyo lain wakulaga vinono
Twende nchi gan Cuba ama Philipino

Nami natulia
Nikiwa nawe amini
Yaani nakwambia nishakulaga ya amini
 Nawe hutojutia, wewe kunipenda mimi
Nishasabiliaa, moyo mpaka maini

Basi zunguka kidogo ukichutuma
Katika kidogo huku umeinama eh
Zungusha kidogo danadana
Huku vetu viuno vikiunganaa

Ti amo, ti amo, ti amo my sweet potato
Ti amo, ti amo lololo
Ti amo mi nakupendaga sana
Ti amo, ti amo eeh tiamo my sweet potato
Tiamo, tiamo

Kwa sura umenimaliza kwa chumba umeniweza
Sinagaga chokochoko pande bili
Jasiri umenifunza cihafu umenikkataza
Lololo wangu ni wewe
Ooh nicharangecharange
Ukipenda niounge kama mwana kwa mama
Sumu kaloo kupenda
Tamu hasa ukipendwa na miee sana eeh
Hakulalamaa sunna sana aah
Penzi langu mie
Namuomba maulama kwetu Usiku mchana aah kwetu litimiee

Basi zunguka kidogo ukichutuma
Katika kidogo huku umeinama eh
Zungusha kidogo danadana
Huku vetu viuno vikiunganaa

Ti amo, ti amo, ti amo my sweet potato
Ti amo, ti amo lololo
Ti amo mi nakupendaga sana
Ti amo, ti amo eeh tiamo my sweet potato
Tiamo, tiamo

Basi zunguka kidogo ukichutuma
Katika kidogo huku umeinama eh
Zungusha kidogo danadana
Huku vetu viuno vikiunganaa

Basi zunguka kidogo ukichutuma
Katika kidogo huku umeinama eh
Zungusha kidogo danadana
Huku vetu viuno vikiunganaa

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2018


Album : Tiamo


Added By : Afrika Lyrics

SEE ALSO

AUTHOR

SMILE THEGENIUS

Tanzania

Smile TheGenius is a singer and songwriter from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE