Home Search Countries Albums

Hatupumui

SMILE THEGENIUS

Hatupumui Lyrics


Unajiamini sana we unadhani kwamba upo peke yako
Eti unapendwa sana na mnatambiana na wenzako
Upo penzini amekuweza yani, upo kwenye future couple
Yani unatamba eti hakuna mwengine Zaidi yako
Yani kutwa nyimbo za mapenzi status
Caption emoji na kubwa kopa
Uliyemtaka ndo tayari umeshampata mwenyewe
Kumbe mwenzako huko analilima tuta
Yupo mwengine anampeleka puta
Unachompa kwengine pia anapata anaenjoy
Na kama huamini
Mwambie akupe password za simu yake
Hilo atakataa eti kila mtu adili na mambo yake
We kila muda yani unalitajataja jina lake
Ye anakuchiti tunaumia sis indo tupo nawe kila muda

Hatu pumui
Hatu pumui
Hatu pumui
Haaaatu pumui
Hatu pumui
Hatu pumui
Hatu pumui
Haaaatu pumui

Penzi jipya ndo linakupa jeuri kwa muda tunakosa raha
Hayo ni mapito yanafikaga mwisho
Kinachojiri kulia na majeraha
Ukimpa pesa kuna mwenzio anampa pochi
We ukimpendezesha yupo mwengine anamtoa out
Ukimnunulia simu kuna mwengine atamnunulia vocha
Waulize wenzio hivi kwa maswabibu gani mpaka wakachoropoka
Na kama huamini
Mwambie akupe password za simu yake
Hilo atakataa eti kila mtu adili na mambo yake
We kila muda yani unalitajataja jina lake
Ye anakuchiti tunaumia sis indo tupo nawe kila muda

Hatu pumui
Hatu pumui
Hatu pumui
Haaaatu pumui
Hatu pumui
Hatu pumui
Hatu pumui
Haaaatu pumui

Yani kutwa nyimbo za mapenzi status
Caption emoji na kubwa kopa
Uliyemtaka ndo tayari umeshampata mwenyewe

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Hatupumui (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

SMILE THEGENIUS

Tanzania

Smile TheGenius is a singer and songwriter from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE