Home Search Countries Albums

Mzima Mzima

HANSTONE

Mzima Mzima Lyrics


Oooh baila, baila
Baila baila baila
Oh baila

Nashindwa lala nikiwa mbali nawe
Nashindwa kula, nisipokuona
Najionaga fala nikiwaga nawe
Ooh hewala, tiba yako napona

Mmmh tuogeshane lazizi tusuguane
Tuoneshane kukabidhi tugaiane
Tufikishane mla ndizi tusiachane
Tuchoshane kwa matizi tutoane jasho

Ah tuwape pole
Wanaonyoosha vidole
Wanaoapa tufiki mbele
Wanajipa kazi bure
Ah wanaona gere, wanapiga kelele
Wanaviherehere, oh oh

Ndani ya penzi nimejifia, mzima mzima
Watanizika, mzima mzima
Yaani nakufa najiona, mzima mzima
Ah watanizika mimi, mzima mzima

Ah hiki kina cha maji marefu nimezama haya
Hashiki shina kwa uti mrefu amekoma mwaya
Wenye fitina la mapenzi yetu wanaona haya
Visavizabina kusaka yetu watachina mbaya

Ah chinga zibibi mchuma uko ngangari
Haiweki wazi wa kuipona sio kamari

Ah tuwape pole
Wanaonyoosha vidole
Wanaoapa tufiki mbele
Wanajipa kazi bure
Ah wanaona gere, wanapiga kelele
Wanaviherehere, oh oh

Ndani ya penzi nimejifia, mzima mzima
Watanizika, mzima mzima
Yaani nakufa najiona, mzima mzima
Ah watanizika mimi, mzima mzima

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Amaizing (EP)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

HANSTONE

Tanzania

Hanstone is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE