Home Search Countries Albums

Naanza Upya

SMILE THEGENIUS

Naanza Upya Lyrics


Tabasamu langu lisikudanganye
Hapa nlipo najililia moyoni
Kikubwa ni uhai naiomba salama
Haya mapenzi yasinichanganye
Kwenye hili ushauri sitamani
Moja haikai mbili ndo imehama
Nilipofikia ni pesa peke yake itanisumbua
Acha niumwagilie moyo niuoe vitu vyake nibadili gia
Nashushia bia nasahau yalopita najiliwazia
Ila pole sana moyo najua kuna mengi umeyapitia

Na nishawasamehe waloniumiza
Waloniliza kwenye mapenzi naanza upya
Najitunza nadunduliza
Sio mbaya nikianza upya

Namshukuru mungu sasa nimetulizana (sitaki stress)
Nataka ku enjoy moyoni shwari (sina stress)
Nikazi tu na marafiki nimetulizana (sitaki stress)
Nataka ku enjoy moyoni shwari (sina stress)

Nimeamua niache kudanganya na kudanganywa
Maana skuizi mapenzi hayana mana
Niache kula nipate kunenepeana
Eti niwaze mapenzi
Na staki nijizeeshe mi bado kijana kheri
Nitafute kibarua cha kifanya
Niwe shabiki wa mpira tu bora sana tu nianze kubeti
Yule alonichiti huko washamvhiti
Analizana na ulimwengu wa mapenzi
Hayasimuliki yupo tikitiki
Amechokeana kidudu cha mapenzi
Nishasahau yalopita najiliwazia
Ila pole sana moyo najua kuna mengi umeyapitia

Na nishawasamehe waloniumiza
Waloniliza kwenye mapenzi naanza upya
Najitunza nadunduliza
Sio mbaya nikianza upya

Namshukuru mungu sasa nimetulizana (sitaki stress)
Nataka ku enjoy moyoni shwari (sina stress)
Nikazi tu na marafiki nimetulizana (sitaki stress)
Nataka ku enjoy moyoni shwari (sina stress)
sitaki stress
sina stress

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2022


Album : Naanza Upya (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

SMILE THEGENIUS

Tanzania

Smile TheGenius is a singer and songwriter from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE