Home Search Countries Albums

Nyumbani Lyrics


P-P-P Precious
Nafurahi  nafurahi
Nnapofika ugenini
Mawazo na fikra zangu

Nimeziacha nyumbani
Hivi na mimi ni nani 
Hata nisahau nyumbani
Ninaporudi nyumbani moyoni 
Najiona na amani

Na kila kukicha Napandwa na hofu ya utumwa 
Nikiwa kule natikisa kichwa
Kusahau siwezi mawazo ni pale pale
Nimekubali nyumbani ni nyumbani eeeh

Iwe mjini hata kijijini eeeeh
Rafiki, ndugu, na jirani weee
Daima tuombe amani eeeeh
Nasimama na nnajiamini eeeeh
Nyumbani kwetu ni pa thamani

Endelea kusimama nguvu bado ipo
Endelea kupambana tuige mfano wako
Baraka zote, sala zote ziwe juu yako
Matunda yake ni furaha nyumbani kwako

Endelea kusimama nguvu bado ipo
Endelea kupambana tuige mfano wako
Baraka zote, sala zote ziwe juu yako
Matunda yake ni furaha nyumbani kwako

Every day namwomba Mungu akupe afya tele
Upate nguvu, riziki ulete mkate tule
Daima nasali upate ada niende shule
Ulipo ni mbali unatafuta huku na kule

Upendo mbele mbele
Amani mbele mbele
Kusali mbele mbele nakuomba
Yapita sekunde dakika

Kila nikikaa hayaendi masaa
Nawaza nyumbani lini utafika
Na siku ni One, Two Three 
Come back heeeeeeeeey

Endelea kusimama nguvu bado ipo
Endelea kupambana tuige mfano wako
Baraka zote, sala zote ziwe juu yako
Matunda yake ni furaha nyumbani kwako

Endelea kusimama nguvu bado ipo
Endelea kupambana tuige mfano wako
Baraka zote, sala zote ziwe juu yako
Matunda yake ni furaha nyumbani kwako

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Nyumbani (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

PRECIOUS ERNEST

Tanzania

Precious Ernest is a young gospel artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE