Home Search Countries Albums

Mama Lyrics


Siku inaanza nami kwa imani nasimama
Bado nawaza zawadi gani nipee huyu mama
Asubuhi kumekucha furaha yake siioni
Mama amechoka na mikono shavuni

Anawaza vipi ataianza siku
Majukumu mgongoni
Anapambana na dhiki
Tabasamu usoni maumivu moyoni

We mama simama
Mama simama
We mama simama
Mama simama

Namuomba Mungu akuzidishie
Akuzidishie na baraka
Akupe nguvu usikate tamaa
Akuzidishie na baraka

Vikwazo vigumu utavivuka
Akuzidishie na baraka
Kwa nguvu yake Baba utasimama
Yeah yeah yeah

Mama huyo, furaha ya moyo wangu
Mpendwa wa maisha yangum, mpambanaji wangu
Mama huyo, furaha ya moyo wangu
Mpendwa wa maisha yangum, mpambanaji wangu

Not ready to go, not ready to go
Away from you mama
Not ready to go, not ready to go
Away from you mama

I’m not ready to let you go, off my life
Always praying to see your amazing smile
Stay young forever mama
I’m not ready to let you go, off my life
Always praying to see your amazing smile
Stay young forever mama

Daima mama ni nguzo yangu
Mapito mengi napita nawe
Kwa dhiki na faraja umekuwa nami
Uliza kila mmoja nani hajui?
Daima wewe ni nguzo yangu

Namuomba Mungu akuzidishie
Akuzidishie na baraka
Akupe nguvu usikate tamaa
Akuzidishie na baraka

Vikwazo vigumu utavivuka
Akuzidishie na baraka
Kwa nguvu yake Baba utasimama
Yeah yeah yeah

Mama huyo, furaha ya moyo wangu
Mpendwa wa maisha yangum, mpambanaji wangu
Mama huyo, furaha ya moyo wangu
Mpendwa wa maisha yangum, mpambanaji wangu

Not ready to go, not ready to go
Away from you mama
Not ready to go, not ready to go
Away from you mama

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Mama (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

PRECIOUS ERNEST

Tanzania

Precious Ernest is a young gospel artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE