Home Search Countries Albums
Read en Translation

Si Unaniona Lyrics


How many time do i have to tell you

I’m blessed, i’m blessed, i’m blessed

How many time do i have to tell you

I’m blessed, i’m blessed, i’m blessed

Shetani amenishindwa

Mwanadamu utaniweza wapi

Shetani amenishindwa

Mwanadamu utaniweza wapi

Majangiri wa furaha

Wapo mtaani

Wanakesha kuniwinda

Siwezekani

Mi si mtu wa majivuno

Mi si mtu wa maneno

Nalindwa na mungu wangu tu

Mi si mtu wa majivuno

Mi si mtu wa maneno

Nalindwa na mungu wangu tu

Si unaniona si sunaniona tu

Ninavyovimba

Si unaniona si sunaniona tu

Ninavyotamba

Si unaniona si sunaniona tu

Ninavyovimba

Si unaniona si sunaniona tu

Ninavyotamba

Pale pale

Pale pale

Tobo langu liko pale

Pale pale

Pale pale

Pale pale

Tobo langu liko pale

Pale pale

Pale pale

Pale pale

Malengo yangu yako pale

Pale pale

Pale pale

Pale pale

Malengo yangu yako pale

Pale pale

Majangiri wa furaha

Wapo mtaani

Wanakesha kuniwinda

Siwezekani

Mi si mtu wa majivuno

Mi si mtu wa maneno

Nalindwa na mungu wangu tu

Mi si mtu wa majivuno

Mi si mtu wa maneno

Nalindwa na mungu wangu tu

Si unaniona si sunaniona tu

Ninavyovimba

Si unaniona si sunaniona tu

Ninavyotamba

Si unaniona si sunaniona tu

Ninavyovimba

Si unaniona si sunaniona tu

Ninavyotamba

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2024


Album : (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

PHINA

Tanzania

Saraphina Michael, popularly known as PHINA is a reecording artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE