Home Search Countries Albums

Ni Salama Lyrics


Nina kila sababu kurudisha sifa kwako
Kwavile we umenifaa
Maana kila jawabu na magumu nnayopitia
Wewe umenipa

Hakika we ni mwema
Mtetezi wa zangu shida
Unanipigania kila mara

Hakika we ni mwema
Mtetezi wa zangu shida
Unanipigania kila mara

Umeniepusha na maadui
Umenipa nguvu ya kupambana
Umeniponya na Corona

Umeniepusha na maadui
Umenipa nguvu ya kupambana
Umeniponya na Corona

Nasimama napambana
Nayaweza yote katika yeye anitiaye nguvu
Nasimama napambana
Nayaweza yote katika yeye anitiaye nguvu

Nikiwa nawe maishani mwangu
Daima nawe ni salama
Nikiwa nawe maishani mwangu
Daima nawe ni salama
“Nashukuru sana”

Yeeeeeeee yeeee oooh……
Ni salama hata nkifika mwisho
Amani moyoni ninayo nisalama
Siogopi magumu na vitisho
Upendo wako umetawala ni salama

Ona marafiki nao waliniacha
Nikapata dhiki pesa zika kacha
Japo ni magumu ila ni salama

Nilicheka nao kula nao kunywa nao sema nao
Kwenye shida wakaondoka
Wakansonya wakandharau
Kwako najiweka njia zako ni salama
Heeeeeeee……

Nikiwa nawe maishani mwangu
Daima nawe ni salama
Nikiwa nawe maishani mwangu
Daima nawe ni salama
“Nashukuru sana”

Heeeeeeeeeee..ashukuru
My lord………Mungu wangu

Ona marafiki nao waliniacha
Nikapata dhiki pesa zika kacha
Japo ni magumu ila ni salama

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Ni Salama (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

PRECIOUS ERNEST

Tanzania

Precious Ernest is a young gospel artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE