Home Search Countries Albums

Wanitazama

JOEL LWAGA

Wanitazama Lyrics


Mkono wako umenishika
Fimbo yako yaniongoza
Gongo lako lanifariji
Umenisitiri umenifanya hodari

Uliliona chozi langu la ndani
Ukalifuta na kunipa amani
Unyonge wangu haukukuweka mbali
Ukaniinua na kunipa dhamani

Eeh Bwana, wanitazama
Baba, baba Mungu usielala
Wanitazama, wanitazama
Baba, baba Mungu usiechoka

Mi ni mboni yako 
Yesu wee, Yesu wee
Jicho lako
Yesu wee, Yesu wee

Mi ni mboni yako 
Yesu wee, Yesu wee
Jicho lako
Yesu wee, Yesu wee

Akili zangu Zilifika mwisho
Na kuona Mungu hunitazami
Taabuni

Na wanadamu
Wakapata cha kusema kuwa 
Mungu wangu hayupo
Tena nami

Nilipoona ni mwisho
Wewe ukatangaza mwanzo
Nilipodhani ni pigo
Kumbe ni lako kusudio

Kilipozidi kilio
Wewe ukaleta kicheko
Ukadhihirisha kwa macho
Wewe ni langu kimbilio

Uliliona chozi langu la ndani
Ukalifuta na kunipa amani
Unyonge wangu haukukuweka mbali
Ukaniinua na kunipa dhamani

Eeh Bwana, wanitazama
Baba, baba Mungu usielala
Wanitazama, wanitazama
Baba, baba Mungu usiechoka

Eeh Bwana, wanitazama
Baba, baba Mungu usielala
Wanitazama, wanitazama
Baba, baba Mungu usiechoka

Mi ni mboni yako 
Yesu wee, Yesu wee
Jicho lako
Yesu wee, Yesu wee

Mi ni mboni yako 
Yesu wee, Yesu wee
Jicho lako
Yesu wee, Yesu wee

Uliliona chozi langu la ndani
Ukalifuta na kunipa amani
Unyonge wangu haukukuweka mbali
Ukaniinua na kunipa dhamani

Eeh Bwana 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Thamani EP (EP)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

JOEL LWAGA

Tanzania

Joel Lwaga is a gospel artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE