Home Search Countries Albums

Go Baba Lyrics


Go Baba, Go Baba, Go Baba
Go Baba, Go Baba, Go Baba
Go Baba! (Free Nation)

Maisha ya mama ndo yamenifanya nipo juu mpaka leo
Usiponisikia redioni kwenye banda la video
Bodaboda bajaji kitaani mi ndo rais wao
Na leo nawalaza nje si nina funguo zao

Rais kamanda kipenzi cha wana
Mademu hawaaminiki no no wamesaliti chama
Au mnasema aje masela (Go Baba)
Tuuze nchi tugawane mahela (Ndio Baba)

Kwenye show zao wao kiingilio si ni bure
Kwenye show zangu mimi kiingilio kile kile
Okay sijawai kuogopa (Ndio)
Japo napingwa (Ndio)

Nasema sihami nchi na wala siachi kuimba (Ndio)
Mnaniona kichaaa, nishakamata rungu
Raundi hii mpaka mashoga mtajifungua kwa uchungu
Ni baba Yaga, rais wa masela kitaa
Na wanangu tumeshibana kama mlevi na baa

Go Baba, Go Baba, Go Baba
Go Baba, Go Baba, Go Baba
Go Baba, Go Baba, Go Baba
Go Baba, Go Baba, Go Baba

Naona kama sauti yangu haiko freshi hivi
Hebu nipe maji nipoze koo kidogo
Alafu tuone itasound vile, au sio twende!

Go eeh, go eeh, go eeh
Go eeh, go eeh, go eeh
Go eeh, go eeh, go eeh

Ni-- gabana ba varangani
Nataka niwaonyeshe mi na wao hatuendani
Hatupigi mke bwana tunapiga pesa
Akichepuka anayechepuka ya nini ufe na presha

Hii ndo Bongo bana ujinga ndo unapewa nafasi
Shule haiwezi trendi kwa kukosa madawati
u mnasema aje masela (Go Baba)
Tuuze nchi tugawane mahela (Ndio Baba)

Go Baba, Go Baba, Go Baba
Go Baba, Go Baba, Go Baba
Go Baba, Go Baba, Go Baba
Go Baba, Go Baba, Go Baba

Go eeh, go eeh, go eeh
Go eeh, go eeh, go eeh
Go eeh, go eeh, go eeh

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Go Baba (Single)


Copyright : (c) 2021 Free Nation


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

NAY WA MITEGO

Tanzania

Emmanuel Elibariki, popularly known as Nay Wa Mitego, or simply  Mr Nay,  is a Tanzanian r ...

YOU MAY ALSO LIKE