Home Search Countries Albums

Champion

FID Q Feat. RICH MAVOKO, NAOMISIA

Champion Lyrics


Wewe mwana usitoke kwetu weeh
Hizi zote ni Mila zetu weeh
Sisi washindi wa vizazi vyetu weeh
Kama ni yako  lazima uchukue

Vile nina discipline hata ukinidiss mimi
sileti shazi , sikuweki wazi kwenye big screen
Ninasaka chi- ching... ninafanya big tings
kazi kazi.. nyie waduanzi hamnishushi mimi
Mie ni striker mwenye kiu ya kuitikisa nyavu
Mie ni fighter.. kauli mbiu ni kuwashikisha adabu
Taita mwenye mbio zisoumiza pafu
Kama BAISA ukiwa na mlio ukiniita mie ninarapu
Na nikitema sixteen au hata nyingi bars
Ninarushiwa g-strings.. shilingi au hata bras
Mixa shangwe nyingi, applause picha wanipambe mdingi
ofcoz watambe wako na king wa flows za kibabe wawachape paa
Mablingbling.. mie huwaga sipendi yavaa
Nimejaa madi dini.. kichwani mengi  sa(na)
na ninapowin win
ninaona macho ya chini chini
kama msako wa kingpin
mie na hustle ni twin twin
Haters wananuna why sijalegeza? Mayn
Haupaswi kupuuzwa kama hauna cha kupoteza
Na hata kama ni  fedha nyingi nitashika
na kutekeleza yale ya msingi kila dakika
Ninaikumbuka shida mavumba nikishika
Ninawasafisha walionichafua
walioniombea njaa ninawalisha na kuwanyanyua
Walioniangusha walioniliza ninawafuta chozi
Walionidhulumu wakinikopa ninawalipa ofcoz
kero za kelele ninazijua
Na sio kila kinacho kusongesha mbele ni hatua
sure.. kwani..haujawahi kugomewa na break za gari pindi ukiwa mlimani ?
au kwenye spidi kali na vigingi havionekani
Ukapona ajili ya dua za wale witness kwa njia
Kumruhusu mdhaifu akukere hiyo ni weakness pia
Kuna mambo hayaji bila fosi.. hivyo ukipozi utanywea
Na kwangu uhuru  si chochote ikiwa hautoniruhusu  kukosea

The view is nice from where I stand
Nilipigana till the end
I am a champion
I heard them say
I’m a champion yeah yeah
Simuoni wa kunishinda
Daily ninawin..ninautwaa ubingwa
I am a champion
I heard them say
I’m a champion yeah

Yule mnyama aliyekuja juzi ndio yule yule bwana weeh
Jikaze upate ujuzi.. na usitoke bure bwana weeh
Usije kufa kiboyo
Kutwa kucha kwa kigodoro
Kukaba kwa vichochoro
Usiitafute kasoro wowooo

The view is nice from where I stand
Nilipigana till the end
I am a champion
I heard them say
I’m a champion yeah yeah
Simuoni wa kunishinda
Daily ninawin..ninautwaa ubingwa
I am a champion
I heard them say
I’m a champion yeah

Sisi washindi wa vizazi vyetu weeh

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2022


Album : Champion (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

FID Q

Tanzania

Fid Q, born Fareed Kubanda on the 13th of August 1982 in Mwanza, Tanzania, is a popular Bongo F ...

YOU MAY ALSO LIKE