Home Search Countries Albums

Sumaku

JUX Feat. VANESSA MDEE

Sumaku Lyrics


Vee Money on the track yeah
(Its S2kizzy beiby)

Shawty badder 
She got me high kama beat ya S2kizzy
Nisipomuona sekunde nammiss
Najiuliza amenipa ninii?

Kila stori ninayopiga ye ndo mada
Nangombana kabisa wakimdiss
Na kuumia kwa moyo nahisi
Najuliza amenipa niniii?

Namkunja kabisa kama kambare
Nashinda kabisa sitaki sare
Hakuna kunguri mambo ya chare
Mtu wa Mungu, mtoto wa kipare

Namkunja kabisa kama kambare
Nashinda kabisa sitaki sare
Hakuna kunguri mambo ya chare
Mtu wa Mungu, mtoto wa kipare

Ananivuta vuta kama magneti
Belong to you, belong to me beiby
Ananivuta vuta kama magneti
Duu na duu na duu na duu beiby

Ananivuta vuta kama magneti
Yeah yeah yeah...
Ananivuta vuta kama magneti
I do, I do, I do, ooh yeah

Sumaku! sumaku! sumaku!
Sumaku! sumaku! sumaku!
Sumaku! sumaku! sumaku!
Sumaku! sumaku! 

Beiby please, 
Tell me you want more 
What you like about the feeling?

Honestly,
I wanna show you 
Am feeling you too

Lemmi take you to a nice place 
Tuzime taa
Nivute nikunase, utashangaa

Nikupe vitu vyote, upate raha
Am caught up in you
And am tempted to stay up
For sure

Nipepee(oooh beiby)
Nikikuona nazubaa(oooh beiby)
Ooh beiby(oooh beiby)
Ninapandwa na kichaa(oooh beiby) 

Namkunja kabisa kama kambare
Nashinda kabisa sitaki sare
Hakuna kunguri mambo ya chare
Mtu wa Mungu, mtoto wa kipare

Namkunja kabisa kama kambare
Nashinda kabisa sitaki sare
Hakuna kunguri mambo ya chare
Mtu wa Mungu, mtoto wa kipare

Ananivuta vuta kama magneti
You belong to me, I belong to you beiby
Ananivuta vuta kama magneti
I do, I do, I do beiby

Ananivuta vuta kama magneti
You belong to me, I belong to you beiby
Ananivuta vuta kama magneti
I do, I do, I do for you

Sumaku! sumaku! sumaku!
Sumaku! sumaku! sumaku!
Sumaku! sumaku! sumaku!
Sumaku! sumaku! sumaku!

Anatuvua
Kila akitupa nyavu(Anachukua)
Aah visenti vyetu vyote(Anatuvua)
Aah mama kila akitupa nyavu(Anachukua)
Hatutoki eeh(Anatuvua)

Aah-ah akitupa nyavu(Anachukua)
Yaani visenti vyetu vyote(Anatuvua)
Mama mama ma..(Anachukua)
Yeee ye ye ye ye  

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Sumaku (Single)


Copyright : (c) 2019 African Boy


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

JUX

Tanzania

JUX, born Juma Mussa is a musician from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE