Dozi Lyrics

Shii! The African Princess
(It's S2kizzy beiby)
Yaani tushawaloga waloshika manyanga
Si walipaka powder na chale wakachanja
Na kwenye videnge udaku kwa madot ya kanga
Nawatupa kwenye uchafu kama ganda la karanga
Ooh yayeee
Imegeuka shilingi wanalia
(Wameyamwaga)
Walidhani magimbi kumbe bia
(Wameyavaga)
So wapaka wino, machino
Wenyewe wamechimba shino
Moja jino kwa kisigino
Wamemwaga tela nawazidi kimo
Ooh yeah hatucheki na ndesi
Ni mwendo wa dozi
Kama wagonjwa nawapa ulezi
Ooo yeah hatuwapi ulezi
(It's S2kizzy beiby)
Nikimake navimba kibaharia
Kamba kwa buti nakazia
Wakipiga kinuti napangua
Kwa kubwa washow wanakaliwa
Naitekenye kete
Wakipangua cheche
Miluzi makeke
Mteja na kete
Saluti! Kuruti
Katekenye kacheka ka nyoti
Bunduki, Baruti!
Utapepea ka parachuti
So wapaka wino, machino
Wenyewe wamechimba shino
Moja jino kwa kisigino
Wamemwaga tela nawazidi kimo
Ooh yeah hatucheki na ndesi
Ni mwendo wa dozi
Kama wagonjwa nawapa ulezi
Ooo yeah hatuwabembelezi
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Dozi (Single)
Copyright : (c) 2020 African Princess.
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
NANDY
Tanzania
NANDY aka The African Princess real name Faustina Charles Mfinanga (born Novemb ...
YOU MAY ALSO LIKE