Home Search Countries Albums

Dozi

NANDY

Read en Translation

Dozi Lyrics


Shii! The African Princess
(It's S2kizzy beiby)

Yaani tushawaloga waloshika manyanga
Si walipaka powder na chale wakachanja
Na kwenye videnge udaku kwa madot ya kanga
Nawatupa kwenye uchafu kama ganda la karanga

Ooh yayeee
Imegeuka shilingi wanalia 
(Wameyamwaga)
Walidhani magimbi kumbe bia
(Wameyavaga)

So wapaka wino, machino
Wenyewe wamechimba shino
Moja jino kwa kisigino
Wamemwaga tela nawazidi kimo

Ooh yeah hatucheki na ndesi
Ni mwendo wa dozi
Kama wagonjwa nawapa ulezi
Ooo yeah hatuwapi ulezi

(It's S2kizzy beiby)

Nikimake navimba kibaharia
Kamba kwa buti nakazia
Wakipiga kinuti napangua
Kwa kubwa washow wanakaliwa

Naitekenye kete
Wakipangua cheche
Miluzi makeke 
Mteja na kete

Saluti! Kuruti
Katekenye kacheka ka nyoti
Bunduki, Baruti!
Utapepea ka parachuti

So wapaka wino, machino
Wenyewe wamechimba shino
Moja jino kwa kisigino
Wamemwaga tela nawazidi kimo

Ooh yeah hatucheki na ndesi
Ni mwendo wa dozi
Kama wagonjwa nawapa ulezi
Ooo yeah hatuwabembelezi

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Dozi (Single)


Copyright : (c) 2020 African Princess.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

NANDY

Tanzania

NANDY aka The African Princess  real name Faustina Charles Mfinanga (born Novemb ...

YOU MAY ALSO LIKE