Home Search Countries Albums

King'aunga'au

LULU DIVA

King'aunga'au Lyrics


Nilikupa jezi uwanjani unacheza wonder
Umenipa ndizi nitafune nimemeza ganda
Mapigo huenda mbio yaani shuka panda
Nakupa vyeo beiby we kamanda

Hufanani na wanuka jasho, wafuatisha usemacho
Wanipa kile ambacho mie napenda (Napenda)
Nimeridhika na ulichonacho, tukikosa sangara na sato
Twapika nguna kwa dagaa(Mirenda)

Ni wewe tu, wewe tu
Wangu mtima ni wewe
Ni wewe tu, wewe tu
Wangu mtima ni wewe

Aaah king'aunga'au, king'aunga'au
King'aunga'au, king'aunga'au
Aaah king'aunga'au, king'aunga'au
Kikia cha pweza king'aunga'au

Meli ishatia nanga twende Zanzibar
Panapo upepo wa bahari uko shwari mwanana
Next time twajichanga pipa Madiba
Mambo ng'ari ng'ari tena twazidi fanana

Nikupe uroda wote wote (Aah uroda wote wote)
Kisha tucheze lote lote (Lote lote)
Aaah lote lote (Lote lote)

Ni wewe tu, wewe tu
Wangu mtima ni wewe
Ni wewe tu, wewe tu
Wangu mtima ni wewe

Aaah king'aunga'au, king'aunga'au
King'aunga'au, king'aunga'au
Aaah king'aunga'au, king'aunga'au
Kikia cha pweza king'aunga'au

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : The 4 Some/ King'aunga'au (EP)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

LULU DIVA

Tanzania

Lulu Diva is one of the leading female artist in Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE