For You Lyrics

Shii! ooh, ooh mmh
(Sounds by ABBAH)
Hii dunia kumbe tamu
Ulikuwa wapi kuenjoy wanadamu
Yaani dunia kumbe tamu
Ili nilikuwa wapi mmmh..
We unanipatia maana nilishalalia sana
Navyojikatia tamaa, ooh lalalee
Unavyonipatia, mama najifia
Ama umebania ooh lalalee
Ah baby you are my angel
Mwenye raha za mi mwenzio
Oh my gosh, ah lemmi sing for you
Lemme sing for you ooh
Tarara tarara ta!
Ah mmmh tatara tarara ta!
Lemme sing for you ooh
Tarara tarara ta!
I love you, Tarara tarara ta!
I love you aah aah...mmmh
Wakuona faraja moyo
Hata nikikosa kujaza tumbo
Kwa vichipsi sijali, oh yeah
Vile jinsi nina furaha moyoni
Nahisi kushiba tangia kautumbo
Katanitosha kaugali, oh yeah
We unanipatia maana nilishalalia sana
Navyojikatia tamaa, ooh lalalee
Unavyonipatia, mama najifia
Ama umebania ooh lalalee
Ah baby you are my angel
Mwenye raha za mi mwenzio
Oh my gosh, ah lemmi sing for you
Lemme sing for you ooh
Tarara tarara ta!
Ah mmmh tatara tarara ta!
Lemme sing for you ooh
Tarara tarara ta!
I love you, tarara tarara ta!
Am in love you aah aah ..ooh oh
Tarara tara...
(The Mix Killer)
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : For You (Single)
Copyright : (c) 2021 Bad Nation.
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
MARIOO
Tanzania
Marioo is a Tanzanian singer/songwriter based in Dar Es Salam. His first single (Dar Kugumu), ...
YOU MAY ALSO LIKE