Baikoko Lyrics
Huba langu nilikupa sioni eeh
Upendo wangu ukautupa jahanii
Kumbe dDoriani tamu mdomoni harufu puani usi
Na uzio ya chumbani wayatoa hadharani
Acha niupete niupete nisije ula chuyaa
Acha niyabwage niyabwage gubu sijazoea
Acha niupete niupete nisije ula chuyaa
Acha niyabwage niyabwage gubu sijazoea
Ayaaah ayaaah aaaah ayaah
Ayaaah ayaaah aaaah ayaah
Wala si malumbano imejawa mifano
Wakileta maneno siwakohoi
Wala si malumbano imejawa mifano
Wakileta maneno siwakohoi
Halo halo
Kiroho papo papo, huba la roho yako
Kiroho papo papo, huba la roho yako
Singo nililosingwa
Nimesingwa unyagoni
Kachiri wee funga mkanda
Mbona yako huyaneni
Acha nitete Nitete roho yangu
usikurupuke ukapoteza mudi yangu
Sikupata tafadhali unikeshesha
Hukujali yangu hali kutwa kunichoresha
Wala si malumbano imejawa mifano
Wakileta maneno siwakohoi
Wala si malumbano imejawa mifano
Wakileta maneno siwakohoi
Halo halo
Kiroho papo papo, huba la roho yako
Kiroho papo papo, huba la roho yako
Kiroho papo papo, huba la roho yako
Kiroho papo papo, huba la roho yako
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2017
Album : The African Princess / Baikoko (Album)
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
NANDY
Tanzania
NANDY aka The African Princess real name Faustina Charles Mfinanga (born Novemb ...
YOU MAY ALSO LIKE