Home Search Countries Albums

Baikoko

NANDY

Baikoko Lyrics


Huba langu nilikupa sioni eeh 
Upendo wangu ukautupa jahanii 
Kumbe dDoriani tamu mdomoni harufu puani usi
Na uzio ya chumbani wayatoa hadharani

Acha niupete niupete nisije ula chuyaa
Acha niyabwage niyabwage gubu sijazoea
Acha niupete niupete nisije ula chuyaa
Acha niyabwage niyabwage gubu sijazoea

Ayaaah ayaaah aaaah ayaah
Ayaaah ayaaah aaaah ayaah

Wala si malumbano imejawa mifano 
Wakileta maneno siwakohoi
Wala si malumbano imejawa mifano 
Wakileta maneno siwakohoi

Halo halo

Kiroho papo papo, huba la roho yako
Kiroho papo papo, huba la roho yako

Singo nililosingwa 
Nimesingwa unyagoni 
Kachiri wee funga mkanda
Mbona yako huyaneni 

Acha nitete Nitete roho yangu 
usikurupuke ukapoteza mudi yangu 
Sikupata tafadhali unikeshesha
Hukujali yangu hali kutwa kunichoresha

Wala si malumbano imejawa mifano 
Wakileta maneno siwakohoi
Wala si malumbano imejawa mifano 
Wakileta maneno siwakohoi

Halo halo

Kiroho papo papo, huba la roho yako
Kiroho papo papo, huba la roho yako
Kiroho papo papo, huba la roho yako
Kiroho papo papo, huba la roho yako

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2017


Album : The African Princess / Baikoko (Album)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

NANDY

Tanzania

NANDY aka The African Princess  real name Faustina Charles Mfinanga (born Novemb ...

YOU MAY ALSO LIKE