Home Search Countries Albums

Wana Wanywe Pombe

ROSA REE

Wana Wanywe Pombe Lyrics


Waaa, wana wanywe pombe
Waaa, wana wanywe pombe
Waaa, wana wanywe pombe
Waaa, wana wanywe pombe
Lokota chupa, lokota chupa
Lokota chupa, lokota chupa

Si ‘tukiwa kwenye kiwanja  hatuangalii bajeti
Ukiagiza moja moja naagiza backeti
Waiter leta ngorongoro  ama serengeti
Kama maisha ni safari niletee kreti
Ukishalewa tembea kama una tege 
Alafu jifanye kama unacheze reggae
Ukiona demu mdanganye kama une ndege
Alafu akikupa nenda kamalize nyege
Ukipewa bia za bure usiziendee pupa
Maana utakuja kulewa ushikishwe ukuta
Na kama una stress nyingi we agiza chupa
Alafu aliyekuvunja moyo  kamvunje mifupa

Waaa, wana wanywe pombe
Waaa, wana wanywe pombe
Waaa, wana wanywe pombe
Waaa, wana wanywe pombe
Lokota chupa, lokota chupa (eeh na jacko eeh)
Lokota chupa, lokota chupa  (eeh na jacko eeh)

Myu mzima nkila hasara nashushia bapa
Huku kwetu kuna panya kamuua paka
Kiufupi pilipili imewasha data
Wazee leteni maji kunamtu kawake
Na tushamaliza bifu la pilau na gambe (Gambeee gambeee)
Tukitaka cha arusha anatumwa afanda (Afandeee  fande)
Uumu ndani tunakesha kama walinzi
Afu tumpendeza T-shirt na jeans
Tuna mambo meusi kama masizi
Unaweza kuta kichaaa anamcheka chizi

Waaa, wana wanywe pombe
Waaa, wana wanywe pombe
Waaa, wana wanywe pombe
Waaa, wana wanywe pombe
Lokota chupa, lokota chupa (eeh na jacko eeh)
Lokota chupa, lokota chupa  (eeh na jacko eeh)

MMmhhh nikishalewa (gongooo)
Me sitaki kuchezewa (gongo gongo)
Nakata maji kama mamba (gango)
Leo kichaa amekate kamba (gongo gongo)
Mmhhh nikishalewa (gongooo)
Me sitaki kuchezewa (gongo gongo)
Nakata maji kama mamba (gango)
Leo kichaa amekate kamba (gongo gongo)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Wana Wanywe Pombe (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

ROSA REE

Tanzania

Rosa Ree is a Tanzanian dancehall artist. ...

YOU MAY ALSO LIKE