Home Search Countries Albums

Za Kuazima

NACHA Feat. MZEE MONDI

Za Kuazima Lyrics


Okay Amini kwamba mzee wa Bwax hapa
Mtoto wa nje ya ndoa
Nyasubi ndani ya mbanyu
Ugogo wa mende biskuti ya chuma
Aah nikiwa na Nacha

Walete walete kata kigoma akiwa kigoda
Watoto wanapenda bo bo boda boda (Aah)
Maglasi yameendewa mwendo kasi
Kiukweli wanaenda race

Hawa mademu wa mwendo kasi
Jamani wanaenda race
Hao hao wanatamba uswahilini
We kumbe vioo
Na vibeli vya kuazima 
Madundo ya kuazima

Wanavyotambia sio vyao
We kumbe vioo
We mawigi ya kuazima
Vijora vya kuazima

Nguo za kuazima mwenzako mi zinanikaba
Ye akipiga pasi nangoja mtoko Tabata
Wanashinda Wanjala mkopoe mtoto kwa Masha
Masela wa kuazima sio siri mi mnanichosha

Vyana viatu vimerudi vichafu
Hazina dinji kurudisha baada ya wiki tatu
Hasa che, cheki mnazima mnaenda kujikosa
Mnaazima koshi ipo siku mtaazima boxer
Nguo za kuazima, ghetto la kuazima
Usipokuwa makini akili utazima
Gari la kuazima, steam ya kuazima
Usipokuwa makini hadi demu utaja azima

Nimeona kweli noma, nikivaa kijizi cha karume nawachoma
Wasela wangu eeh sio kwamba nawachana
Michezo ya kitoto hayo mambo mnayoyafanya

Haya walete kata kigoma juu ya kigoda
Watoto wanapenda bo bo boda boda (Aah)
Haya walete kata kigoma juu ya kigoda
Watoto wanapenda bo bo boda boda (Aah)

Kata treni wa mwendo kasi
Kiukweli wanaenda race
Hawa mademu wa mwendo kasi
Jamani wanaenda race

Hao hao wanatamba uswahilini
We kumbe vioo
Na vibeli vya kuazima 
Madundo ya kuazima

Wanavyotambia sio vyao
We kumbe vioo
We mawigi ya kuazima
Vijora vya kuazima

Unatafutwa we dada unatafutwa
Umeazima dera haijarudi kwa jike shupa
Unatafutwa we dada unatafutwa
Umeazima chain hujarudisha 

Kibinti kibishi bishi cha mtoni kijiti jiti
Kimeazima carolyte haijarudi kimwizi mwizi
Kijizi jizi, kimiski mbiji 
Usoni kimekomaa ka vile kibibi

Wanja kakupa, kope kakupa
Unataka bra ukadange yombo vituka
Ameshashtuka akiazimwa anajuta
Umeazimwa chupi imerudi ramani ya Africa

Kwanza koma, mdomo funga shona
Umeazima panadol wakati unaumwa ngoma
Dada koma wigi uliloazima
Umeenda kugawa kwa huruni kwa kina Menina 

Haya walete kata kigoma juu ya kigoda
Watoto wanapenda bo bo boda boda (Aah)
Haya walete kata kigoma juu ya kigoda
Watoto wanapenda bo bo boda boda (Aah)

Kata treni wa mwendo kasi
Kiukweli wanaenda race
Hawa mademu wa mwendo kasi
Jamani wanaenda race

Hao hao wanatamba uswahilini
We kumbe vioo
Na vibeli vya kuazima 
Madundo ya kuazima

Wanavyotambia sio vyao
We kumbe vioo
We mawigi ya kuazima
Vijora vya kuazima

Cheketua, cheketeza ukivua
Ukikosa danga bwana wa mtu dada chukua
Che cheza jasho tokea vumbi timua
Usiogope vumbi usijali dada wa mafua

Nasema kamata chura na kacha uhangaike naye
We akipagawa na ghetto unakwenda naye
We kamata chura na kacha uhangaike naye

Basi kamata kamata, we kamata
We dada kocha kamata, we kamata
Machizi pochi kamata weka
We meneja Sefu...

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Za Kuazima (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

NACHA

Tanzania

Nacha Ousam is a musician from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE