Wosia wa Magufuli Lyrics

Mmmh mmh wouwoo ooh oh
Mi nataka niwaambie ndugu zangu, ndugu zangu
Ipo siku moja mtanikumbuka aah
Mi najua na mi najua mtanikumbuka
Kwa mazuri si mabaya eeh
Mi najua na mi najua mtanikumbuka
Kwa mazuri yeah
Kwa sababu nimesacrifice maisha yangu
Nimejitoa sadaka
Nimesacrifice maisha yangu
Nimejitoa nimejitoa kwa nchi yangu
Watu wangu, nchi yangu
Kwa mara hio tusimame kwa pamoja
Tusibaguane kwa vyama
Mara hio tusimame
Tusibaguane kwa vyama
Tusibaguane kwa ajili ya dini zetu
Tusibaguane hata kwa makabila yetu
Tusibaguane kwa ajili ya dini zetu
Tusibaguane hata kwa makabila yetu
Yetu tusibaguane oh ndugu zangu
Aiyayaiyaiya, nchi yangu
Aiyayaiyaiya, familia yangu
Aiyayaiyaiya, Tanzania
Aiyayaiyaiya
Nimesacrifice maisha yangu
Nimesacrifice maisha yangu
Kwa ajili ya watanzania masikini
Ndugu zangu msibaguane
Ndugu zangu tusibaguane
Kwa makabila
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Wosia wa Magufuli (Single)
Copyright : (c) 2021 Kings Music
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
ALIKIBA
Tanzania
Ali Saleh Kiba, better known by his stage name AliKiba, is a Tanzanian recording artist, singer-song ...
YOU MAY ALSO LIKE