Home Search Countries Albums

Yamenizidia

MAVOKALI

Yamenizidia Lyrics


Oh mapenzi, we mwenyewe unajua yanaumiza hatari
Yanaumiza hatari
Oh mapenzi ukija kuingia
Nakupa tahadhari, nakupa tahadhari

Akikolea balaa, tena furaha
Yaani furaha
Kuna watu wanaposti majeraha
Yaani karaha hawana furaha

Tena ukajiona unapendwa
Wakikutumia wanakuona kinyaa
Na wengine hadi tattoo wamechora
Yakisha wakuta wanajuta balaa

Najipa imani, nitapona, nitapona
Ila sitamani, nitapona, nitapona
Eeh vibaya, yamenizidia
Yamenizidia, yamenizidia

Wakati unawaza kumpenda pengine
Mwenzako anawaza kumposti mwingine
Lakini bado utahudumia mengine
Aah utashindwa kutambua umuhimu pengine
Atakupanda kichwani ili mapenzi uyachukie
Kiti atapanda shetani
Utaona bora umchunie

Najipa imani, nitapona, nitapona
Ila sitamani, nitapona, nitapona
Eeh vibaya, yamenizidia
Yamenizidia, yamenizidia

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Yamenizidia (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MAVOKALI

Tanzania

Ben Mavokali, stage name "Mavokali"  also known as CHINEDU or Hit BOY is an artist fr ...

YOU MAY ALSO LIKE