Home Search Countries Albums

Naogopa

MAVOKALI

Naogopa Lyrics


Yanavyo anzaga kiutani utani
Unaanza kwa faida mwisho wa siku hasara
Majina mazuri kuitana hunnie
Ukiyaingia yanakumwaga mbaya
Sawa tumeachana jana tu
Iweje unapost picha yake eheee
Alafu unaona sawa
Ukimpost unatichaga sura yako
Nisimjue ehee
Unajua unazingua
Mwilini vidonda, havijapungua
Moyo ulishapoa unaushtua
Mzigo wa adhabu, unaniumbua ooh aaah

Naogopa
Naogopa
Naogopa
Naogopa

Upole na tabia yake
Atakutaka umiliki dunia yake
Ona atakudanganya tabia yake
Atakuvuta utakua wake
Ukisha jaa ni maumvu hatari
Utatamani akubwage aaah
Kipigo chali
Utatamani akuache
Na utafuta namba yake eeeh
Ili umuache, usiumie oooh
Usiumie eeeh
Unajua unazingua
Mwilini vidonda, havijapungua
Moyo ulishapoa unaushtua
Mzigo wa adhabu, unaniumbua ooh aaah

Naogopa
Naogopa
Naogopa
Naogopa

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2022


Album : Naogopa (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

MAVOKALI

Tanzania

Ben Mavokali, stage name "Mavokali"  also known as CHINEDU or Hit BOY is an artist fr ...

YOU MAY ALSO LIKE