Home Search Countries Albums

Nitakusahau

MAVOKALI

Nitakusahau Lyrics


Mi mwenzako sina amani ya mapenzi
Mi mwenzako sina hata wa kunienzi
Umeumiza mtima mama umebadili na jezi
Umesema umesanda nakunipenda huwezi

Kukicha alfajiri unaidanganya siri
Mabaya yako uyaache
Umevunja nadhiri kunipena mimi
Labda uchungu ukukamate

Umekumbwa na nini ama mdudu jini
Mbona unanifanya nidate
Hata salamu nikikupa unanichunia

Marafiki zako akina Doni Masha na kina Lokole
Insta mnanichamba mnasema eti mmenipatia
Na ni nguvu sina

Nitakusahau
Nitakusahau
Nitakusahau
Nitakusahau

Ila bado siamini upweke wangu
Nakesha ndani kama nini peke yangu
Nina michale kama jini mwilini mwangu
Nife nifukiwe chini niende zangu

Ila bado mimi nangoja 
Kama utarudi basi
Uje uniondoe simanzi utaniua

Marafiki zako akina Doni Masha na kina Lokole
Insta mnanichamba mnasema eti mmenipatia
Na ni nguvu sina

Nitakusahau
Nitakusahau
Nitakusahau
Nitakusahau

Nitakusahau mazima nisikuone
Nitakusahau nitakusahau kipenzi
Naona umeshapanda dau

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Nitakusahau (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MAVOKALI

Tanzania

Ben Mavokali, stage name "Mavokali"  also known as CHINEDU or Hit BOY is an artist fr ...

YOU MAY ALSO LIKE