Home Search Countries Albums

Bado Nampenda

MAVOKALI

Bado Nampenda Lyrics


Moyo wangu umepoteza furaha
Amani sina tena (Sina tena)
Masikini penzi langu
Kazima nyota ya jaa 
Kanimwaga kanitema

Naishi kwa kutapa tapa, anajifanya haoni 
Chanzo yeye ananizingua
Nakaribia kudata yamenifika shingoni
Narudi japo nipo niugua

Au tatizo mi sina
Yaani mi sina (Haya sawa)
Kachotaka nini nina 
Nimechacha nimechina (Haya sawa)

Ukimwona mwambieni
Bado nampenda, Bado nampenda
Bado nampenda, Bado nampenda

Ah, nilijifanya maharufu
Penzi sherehe kwa madufu
Ona kakivunja kibubu 
Ah mi nateketea

Sauti yake ya kasuku
Yaani gear huku na huku
Nikizivuta kumbu kumbu
Ah zinanivutia

Nalikumbuka tu jina 
Ameumiza mtima
Akilingoa na shina
Oooh jamani

Naishi kwa kutapa tapa, anajifanya haoni 
Chanzo yeye ananizingua
Nakaribia kudata yamenifika shingoni
Narudi japo nipo niugua

Au tatizo mi sina
Yaani mi sina (Haya sawa)
Kachotaka nini nina 
Nimechacha nimechina (Haya sawa)

Ukimwona mwambieni
Bado nampenda, Bado nampenda
Bado nampenda, Bado nampenda

Mwambieni, mwambieni
Nyie mwambieni
Nampenda sana

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Bado Nampenda (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MAVOKALI

Tanzania

Ben Mavokali, stage name "Mavokali"  also known as CHINEDU or Hit BOY is an artist fr ...

YOU MAY ALSO LIKE