Home Search Countries Albums

Naolewa

RUBY

Naolewa Lyrics


Ruby - Naolewa lyrics

(Fraga got the recipe)

Waliniita kimbaumbau, kiguu na njia
Ila nikadharau, nikapuuzia
Leo kwao kafa nyau, yanawanukia
Kwetu twafinya pilau, yametimia

Oooh wanjara, walete bunyero ooh
Mi nataka kulimwaga razi(Na makagheroo)
Waite na mapaparazi (Wapate kero)
Wale wenye magho ya nazi(Bando la jero)

Wapate vya kuperuzzi

Habari ziende kwa ma ex
Penzi waliodhulumu
Tena nimepata tetesi 
Mmoja ataka kunywa sumu

Kisaa jamani kisaa
Nikauliza kisaa, kisa leo naolewa
Naolewa, naolewa mie(Ooh sheba)
Naolewa, naolewa mie

Nilikosaga na dira kwa maneno ya waja
Oooh subira aaah, mbele inafaraja
Asa chereko, ngoma lipo uwanjanii
Mwali na mideko, kama nimetoka ngomani

Aii yuko wapi mamie mwali 
Aje anibebe mgongoni
Amuite daddy mwali waje
Wayarudi ya msondondo

Bibi anacheka, zawadi kaleta
Na kitenge na mkeka 
Na kibunda cha pesa
(Aaah aah aaah)

Habari ziende kwa ma ex
Penzi waliodhulumu
Tena nimepata tetesi 
Mmoja ataka kunywa sumu

Kisaa jamani kisaa
Nikauliza kisaa, kisa leo naolewa
Naolewa, naolewa mie(Ooh sheba)
Naolewa, naolewa mie

Sina sina makosa(Mtoto wa mwenzio)
Sina sina makosa(Utajiua)
Sina sina makosa(Mtoto wa mwenzio)
Sina sina makosa(Utajiua buree)

Buree, bureee...

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Naolewa (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

RUBY

Tanzania

Ruby real name Hellen Majeshi is a Tanzanian Musician and a beauty queen. She is popularly known for ...

YOU MAY ALSO LIKE