Home Search Countries Albums

Furaha

HARMONIZE

Read en Translation

Furaha Lyrics


Konde boy call me number one

Ya dunia mengi

Leo nimegundua utofauti

Kati ya raha na furaha

Do you know that

Hii dunia ina mambo

Eti kumbe kuna utafauti

Kati ya raha na furaha eeeh

Hmmmm

Kale ka distance

Bebi sikuoni

Eti nikajiona nisha move on

Utadhani naenjoy

Pombe zimenichosha niko hoi eeh

Dunia inasiri

Sio kila area kula raha

Moyoni mwake ana furaha eeeh

Lord have mercy

Nishagundua furaha yangu ni wewe

Kule nilipata raha ila nikagundua

Furaha yangu ni wewe

Kwa wengine nitajisumbua

Furaha yangu ni wewe

Hata siku nikifa

Naomba unizike wewe

Mina wewe eeeehh

Siri ya nini iiiih

Acha nikwaambi

Moyo wangu unatamba nao

Na wasikutishie

Wengine wanautaka wao

Ni lazima waichukie

Hii couple sio level zaooo

Asubuhi tukigombana

Usiku ndio wapatananao mmmmh

Eeeeeh

Kale ka distance

Bebi sikuoni

Eti nikajiona nisha move on

Utadhani naenjoy

Pombe zimenichosha niko hoi eeh

Dunia inasiri

Sio kila area kula raha

Moyoni mwake ana furaha eeeh

Lord have mercy

Nishagundua furaha yangu ni wewe

Kule nilipata raha ila nikagundua

Furaha yangu ni wewe

Kwa wengine nitajisumbua

Furaha yangu ni wewe

Hata siku nikifa

Naomba unizike wewe

Mi nawewe eeeehh

Yaw yawa

It’s kondeboy call me number one

Bakhresa aaah

Konde music worldwide

Mamacita

Tekero tokara mi amor

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2025


Album : (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

HARMONIZE

Tanzania

Harmonize, born Rajab Abdul Kahali on 3 October 1991 in Mtwara, Tanzania, is a Tanzanian singer ...

YOU MAY ALSO LIKE