Shukurani Lyrics

Hicho kibali umenipa
You know why eeh
Sina cha kukulipa
Kwangu you’re the one eeh
Unajua wapo wasionipenda
Lakini bado unanikinga
Upo Nami kila ninapokwenda
Hata kama ni sehemu usizopenda
Wanatamani wanilaze macho
Ama kabisa nisione
Nisiwe hata na nilichonacho
Ila unaning’aza wanione
Aaaaaaaaaaa aaiyaa ayyayayaya
Aaaaaaaaaaa aaiyaa ayyayayaya
Shukurani Kwako, uzima umenipa wewe
Shukurani Sana
Kila dakika kila wakati
Shukurani Baba
Shukurani (ooooyeaaayeah)
Milango inazidi funguka
Na bado I am winning
Nikitazama nilipotoka
I am grateful unanibariki
Wanadhani yangu taaa itaZima
Mbona watasubiri sana
God’s making me shine like a star
Kila nnachomuomba ye hufanya
Wanatamani wanilaze macho
Ama kabisa nisione
Nisiwe hata na nilichonacho
Ila unaning’aza wanione
Aaaaaaaaaaa aaiyaa ayyayayaya
Aaaaaaaaaaa aaiyaa ayyayayaya
Shukurani Kwako, uzima umenipa wewe
Shukurani Sana
Kila dakika kila wakati
Shukurani Baba
Shukurani (ooooyeaaayeah)
Never seen this kind of love before
Never seen this kind of love before
Never seen this kind of love before
Never seen this kind of love before
Shukurani Kwako
Uzima umenipa wewe
Shukurani Sana
Kila dakika kila wakati
Shukurani Baba
Shukurani (ooooyeaaayeah)
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2022
Album : Shukurani (Single)
Copyright : (c) 2022
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE