Home Search Countries Albums

Shukurani

MAUA SAMA

Shukurani Lyrics


Hicho kibali umenipa
You know why eeh
Sina cha kukulipa
Kwangu you’re the one eeh

Unajua wapo wasionipenda
Lakini bado unanikinga
Upo Nami kila ninapokwenda
Hata kama ni sehemu usizopenda

Wanatamani wanilaze macho
Ama kabisa nisione
Nisiwe hata na nilichonacho
Ila unaning’aza wanione

Aaaaaaaaaaa aaiyaa ayyayayaya
Aaaaaaaaaaa aaiyaa ayyayayaya

Shukurani Kwako, uzima umenipa wewe
Shukurani Sana
Kila dakika kila wakati
Shukurani Baba
Shukurani (ooooyeaaayeah)

Milango inazidi funguka
Na bado I am winning
Nikitazama nilipotoka
I am grateful unanibariki

Wanadhani yangu taaa itaZima
Mbona watasubiri sana
God’s making me shine like a star
Kila nnachomuomba ye hufanya

Wanatamani wanilaze macho
Ama kabisa nisione
Nisiwe hata na nilichonacho
Ila unaning’aza wanione

Aaaaaaaaaaa aaiyaa ayyayayaya
Aaaaaaaaaaa aaiyaa ayyayayaya
Shukurani Kwako, uzima umenipa wewe
Shukurani Sana
Kila dakika kila wakati
Shukurani Baba
Shukurani (ooooyeaaayeah)

Never seen this kind of love before
Never seen this kind of love before
Never seen this kind of love before
Never seen this kind of love before

Shukurani Kwako
Uzima umenipa wewe
Shukurani Sana
Kila dakika kila wakati
Shukurani Baba
Shukurani (ooooyeaaayeah)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2022


Album : Shukurani (Single)


Copyright : (c) 2022


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MAUA SAMA

Tanzania

MAUA SAMA  is an artist from Tanzania ...

YOU MAY ALSO LIKE