Home Search Countries Albums

Sura Ya Baba

KONTAWA

Sura Ya Baba Lyrics


Raundi hii milima imekutana
Mi nachekanga tu
Eeeeeh Sura ya Baba

Yeah Yeah aah
Moyo ukiamua Kupenda 
Unapenda Bana
Anadai nitampaa Nini mtu mwenyewe
Sina mafupa
Hebu mwambieni Mimi nimepanga 
Kumpaa mimba

Maana Ana sura nzito Hadi naogopa kumjibisha
Kwanza umbo Namba Tisa
Maana Ana ziwa kubwa kuliko ziwa 
La Tanganyika
Kwa kusema Ukweli akii acha malingo 
Mama
Hapa sitazidi ata akiplidi mwaka mzima

Wake wanawivu Kama yote
Mapenzi Kama yote
Aje nimpee mimba azae watoto Kama wote

Sura ya Baba
Juu najua nyinyi
Sura ya Baba
Madharau hivi kwa Nini
Sura ya Baba
Oooooh ooh ohh 
Sura ya Baba 
Eeeh Eeeh Sura Ya Baba

Eeeeeeh akipiga picha Mia 
Mzuri anapata moja
Anaumbo nzuri na Sura Kama 
Ukitaka Kumuona Vizuri Baba kunywa Chupa moja 
Be humble Sit Down
Naskia Subira Huvuta Heri sikuizi anavuta Sigara
Mmewaza nje ya boxi Sura ya Baba
Juu najua nyinyi
Sura ya Baba
Madharau hivi kwa Nini
Sura ya Baba
Oooooh ooh ohh 
Sura ya Baba 
Eeeh Eeeh Sura Ya Baba

Nimewaza nje ya duara

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Sura Ya Baba


Copyright : ©2019


Added By : Its marleen

SEE ALSO

AUTHOR

KONTAWA

Tanzania

...

YOU MAY ALSO LIKE