Manyaku Lyrics

Blacq, Blaq
They Call me Toto Bad
Sir God Kauba Kapatia
Hana Dosari Ana vutia
Sebure kwa chumba kajazia
Lahda asali ana natia
Akitupia ana pendeza
Kama mdori
Lips colour mpaka raha kama kachori
Namba D car hajatembezwa bado kigori
Kama kungu kala
Mpaka raha
Jicho goroli
Kama samaki sangara
Hiyo miyo mikogo (wacha bwana)
Manyaku kama nawaona
Nimacho kodo mieee
Akini touch touch
Moyo una dundaga
Una dundaga
Akisema sitaki
Akinuna moyo una dundaga
Una dundaga
Wapo watao sema hunifai
Ili wakuchukue
Vaniachie majanga
Penzi wa chakachue
Watakodi madinga ma tai
Ili wakuzuzue
Wajitie waganga
Penzi waligangue
Ujasiri sina wa kuvumilie
Unapo amizwaa
Huo moyo sina
Nikizama kina mpaka
Kama samaki sangara
Hiyo miyo mikogo (wacha bwana)
Manyaku kama nawaona
Nimacho kodo mieee
Akini touch touch
Moyo una dundaga
Una dundaga
Akisema sitaki
Akinuna moyo una dundaga
Una dundaga
Manyaku nyaku
Manyaku nyaku
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2018
Album : Manyaku (Single)
Added By : Afrika Lyrics
SEE ALSO
AUTHOR
MARIOO
Tanzania
Marioo is a Tanzanian singer/songwriter based in Dar Es Salam. His first single (Dar Kugumu), ...
YOU MAY ALSO LIKE