Home Search Countries Albums

Manyaku

MARIOO

Manyaku Lyrics


Blacq, Blaq
They Call me Toto Bad
Sir God Kauba Kapatia
Hana Dosari Ana vutia
Sebure kwa chumba kajazia
Lahda asali ana natia
Akitupia ana pendeza
Kama mdori
Lips colour mpaka raha kama kachori
Namba D car hajatembezwa bado kigori
Kama kungu kala
Mpaka raha
Jicho goroli

Kama samaki sangara
Hiyo miyo mikogo (wacha bwana)
Manyaku kama nawaona
Nimacho kodo mieee

Akini touch touch
Moyo una dundaga
Una dundaga
Akisema sitaki
Akinuna moyo una dundaga
Una dundaga

Wapo watao sema hunifai
Ili wakuchukue
Vaniachie majanga
Penzi  wa chakachue
Watakodi madinga ma tai
Ili wakuzuzue
Wajitie waganga
Penzi waligangue
Ujasiri sina wa kuvumilie
Unapo amizwaa
Huo moyo sina
Nikizama kina mpaka

Kama samaki sangara
Hiyo miyo mikogo (wacha bwana)
Manyaku kama nawaona
Nimacho kodo mieee

Akini touch touch
Moyo una dundaga
Una dundaga
Akisema sitaki
Akinuna moyo una dundaga
Una dundaga

Manyaku nyaku
Manyaku nyaku

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2018


Album : Manyaku (Single)


Added By : Afrika Lyrics

SEE ALSO

AUTHOR

MARIOO

Tanzania

Marioo is a Tanzanian singer/songwriter  based in Dar Es Salam. His first single (Dar Kugumu), ...

YOU MAY ALSO LIKE