Home Search Countries Albums

Baba Jeni

MAUA SAMA

Baba Jeni Lyrics


Hivi wewe hufikiri hufikiri
Kuwa nawe siwezi, kweli siwezi
Kukupa moyo

Eti tuwe wawili wawili
Hizo share siwezi
Kwenye mapenzi utaniumiza moyo
Kwanza unanionaje pisi kali ya kwenda
Tena nina jina mimi
Nakuhifadhi unavimba, unavimba

Tena we na mashemeji
Akili kisoda aah kisoda
Niwe nawe wa nini
Hunifikishi Kigoma

Baba jeni bye bye, bye bye 
Baba jeni bye bye, bye bye 
Baba jeni bye bye, bye bye 
Baba jeni bye bye, bye bye 

Kwako nilijikwaa
Kimapenzi nilikusitiri tu mwenzangu
Basi show ata ungeweza
Ila nilituliza tu kamoyo kangu

Kebehi na gubu 
Sina raha roho juu juu
Baba utaniua kibudu
Bora nidisappear

Ey umesema ndo nanona
Aloniteka amesoma
Master ya mapenzi 
Sio Diploma ananipa mie

Tena we na mashemeji
Akili kisoda aah kisoda
Niwe nawe wa nini
Hunifikishi Kigoma

Baba jeni bye bye, bye bye 
Baba jeni bye bye, bye bye 
Baba jeni bye bye, bye bye 
Baba jeni bye bye, bye bye 

Bye bye, bye bye 
Bye bye, bye bye 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Baba Jeni (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MAUA SAMA

Tanzania

MAUA SAMA  is an artist from Tanzania ...

YOU MAY ALSO LIKE