Home Search Countries Albums

Warira

BEN POL

Warira Lyrics


Tatizo kina lake
Haliln’ kanki mdomoni
Taswira ya sura yake
Hain’toki kichwani
Mapenzi na raha zake
Nazi miss jamani
Matashititi mahaba yake
Aninyila raha ndotoni

Kama shida pombe
Niko tayari kuacha
Aje tuyamalize
Si sawa mi kuniacha
Kama shida pombe
Sigara naacha
Aje tuyamalize
Si sawa mi kuniacha

Funika kombe mwana haramu apite
Kosa gani kubwa lisisameheke
Niambie basi japo nijirekebishe
Hii hali inatesa nitakuja nife

Kama shida pombe
Niko tayari kuacha
Aje tuyamalize
Si sawa mi kuniacha
Kama shida pombe
Sigara naacha
Aje tuyamalize
Si sawa mi kuniacha

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Warira (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

BEN POL

Tanzania

Benard Michael Paul Mnyang'anga aka Ben Pol is an award-winning singer and songwriter mainly pro ...

YOU MAY ALSO LIKE