Warira Lyrics
Tatizo kina lake
Haliln’ kanki mdomoni
Taswira ya sura yake
Hain’toki kichwani
Mapenzi na raha zake
Nazi miss jamani
Matashititi mahaba yake
Aninyila raha ndotoni
Kama shida pombe
Niko tayari kuacha
Aje tuyamalize
Si sawa mi kuniacha
Kama shida pombe
Sigara naacha
Aje tuyamalize
Si sawa mi kuniacha
Funika kombe mwana haramu apite
Kosa gani kubwa lisisameheke
Niambie basi japo nijirekebishe
Hii hali inatesa nitakuja nife
Kama shida pombe
Niko tayari kuacha
Aje tuyamalize
Si sawa mi kuniacha
Kama shida pombe
Sigara naacha
Aje tuyamalize
Si sawa mi kuniacha
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Warira (Single)
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
BEN POL
Tanzania
Benard Michael Paul Mnyang'anga aka Ben Pol is an award-winning singer and songwriter mainly pro ...
YOU MAY ALSO LIKE