Home Search Countries Albums

Unaniona

K2GA

Unaniona Lyrics


Nilipata tabu kupata penzi lako
Huku kando ulisita moyo wako
Beki ya moyo funguo ipo kwako
Mimi mazima siwezi toka kwako

Jamani moyo wangu usijezima
Kulalamika ka ukilema
Kunipa penzi lako hata huruma huna
Unanitesa sana

Jamani moyo wangu usijezima
Unanitesa sana
Kunipa penzi lako hata huruma una
Unanitesa sana(Aaah ma)

Kitochi kibuti kumwagwa 
Kutoswa kutemwa(Inauma sana)
Na kitochi kibuti kumwagwa 
Kutoswa kutemwa

Sasa hivi unanuna(Aha)
Dhamani mi sina(Aha)
Unavyonisema(Aha)
Sina maana tena(Aha)

Hivi unanuna (Aha)
Dhamani mi sina(Aha)
Unavyonisema(Aha)
Sina maana tena(Aha)

Wasi wasi wa moyo nilonao
Moyo wako bado hujaona
Kuwa na wewe bado naona 
Uzito wa penzi lako uzani unagoma

Basi nipe sikio mi leo
Nisikie niyasemayo
Usinipeleke mbio saana
Kama hulitaki we sema

Maana hata raha sina(Sina)
Sina pa kupapasa sina(Sina)
Sina pa kushika sina(Sina)
Sina pa kuhemea sina(Sina)

Kitochi kibuti kumwagwa 
Kutoswa kutemwa(Inauma sana)
Na kitochi kibuti kumwagwa 
Kutoswa kutemwa

Sasa hivi unanuna(Aha)
Dhamani mi sina(Aha)
Unavyonisema(Aha)
Sina maana tena(Aha)

Hivi unanuna (Aha)
Dhamani mi sina(Aha)
Unavyonisema(Aha)
Sina maana tena(Aha)

Saa waniona, haa uniona
Hivi unaniona
Unaniona unaniona unaniona 

King’s music

(Respect)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Unaniona (Single)


Copyright : (c) 2020 King's Music


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

K2GA

Tanzania

K2GA is a Tanzanian singer and songwriter  signed under KINGS MUSIC label. ...

YOU MAY ALSO LIKE