Muumba wa Miisho Lyrics
Muumba wa miisho ya dunia
Bwana wa mabwana
Hazimii, hachoki
Hodari kwa nguvu
Hakuna wa kufanana naye Yesu
Muumba wa miisho ya dunia
Bwana wa mabwana
Hazimii, hachoki
Hodari kwa nguvu
Hakuna wa kufanana naye Yesu
Wamngojeao Bwana
Watapata nguvu mpya
Watapanda juu kama tai
Nami Bwana nakungoja
Wamngojeao Bwana
Watapata nguvu mpya
Watapanda juu kama tai
Nami Bwana nakungoja
Bwana naomba unipe nguvu mpya
Nisichoke kupiga mbio katika wokovu
Bwana naomba unipe nguvu mpya
Nisichoke kupiga mbio katika wokovu
Sitachoka, sitazimia
Yesu yupo, Yesu yupo
Sitakata tamaa
Sitarudi nyuma
Yesu yupo, Yesu yupo
Sitachoka, sitazimia
Yesu yupo, Yesu yupo
Sitakata tamaa
Sitarudi nyuma
Yesu yupo, Yesu yupo
Sitachoka, sitazimia
Yesu yupo, Yesu yupo
Sitakata tamaa
Sitarudi nyuma
Yesu yupo, Yesu yupo
Sitachoka, sitazimia
Yesu yupo, Yesu yupo
Sitakata tamaa
Sitarudi nyuma
Yesu yupo, Yesu yupo
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Muumba wa Miisho (Single)
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
NEEMA GOSPEL CHOIR
Tanzania
Neema Gospel Choir is a group of born again Christian Singers, members of Africa Inland Church (AICT ...
YOU MAY ALSO LIKE