Hawataki Lyrics
(No aha, hey, ah, aah)
Usijutie moyo wako
Ju mi ndo chaguo
Nakupenda nakujali
Amini beiby oooh
Unaposikia mabaya yangu sema
Kwamba nakucheat, sikupendi
Nina wanawake wengi sana
Mmmh ooh sana, oooh ooh...
Hawataki niwe nawe
Hawapendi niwe nawe
Hawataki niwe nawe
Nawe nawe, nawe nawe, nawe
Hawapendi niwe nawe
Hawataki niwe nawe
Hawapendi niwe nawe
Nawe nawe, nawe nawe, nawe
Kwanza nakula kiapo uniamini
Uko peke yako kwangu moyoni
Nalinda penzi lako nalidhamini
Sasa nunu wanuna nini?
Usiwasikize hao wapuuzi
Wanakata matawi na mizizi
Nia yao waharibu penzi
Aaah penzi, ah aaah penzi
Hawataki niwe nawe
Hawapendi niwe nawe
Hawataki niwe nawe
Nawe nawe, nawe nawe, nawe
Hawapendi niwe nawe
Hawataki niwe nawe
Hawapendi niwe na
Nawe na nawe na, nawe
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Hawataki (Single)
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
K2GA
Tanzania
K2GA is a Tanzanian singer and songwriter signed under KINGS MUSIC label. ...
YOU MAY ALSO LIKE