Home Search Countries Albums

Hawataki

K2GA

Hawataki Lyrics


(No aha, hey, ah, aah)

Usijutie moyo wako 
Ju mi ndo chaguo
Nakupenda nakujali 
Amini beiby oooh

Unaposikia mabaya yangu sema
Kwamba nakucheat, sikupendi
Nina wanawake wengi sana
Mmmh ooh sana, oooh ooh...

Hawataki niwe nawe
Hawapendi niwe nawe
Hawataki niwe nawe
Nawe nawe, nawe nawe, nawe

Hawapendi niwe nawe
Hawataki niwe nawe
Hawapendi niwe nawe
Nawe nawe, nawe nawe, nawe

Kwanza nakula kiapo uniamini
Uko peke yako kwangu moyoni
Nalinda penzi lako nalidhamini
Sasa nunu wanuna nini?

Usiwasikize hao wapuuzi
Wanakata matawi na mizizi
Nia yao waharibu penzi
Aaah penzi, ah aaah penzi

Hawataki niwe nawe
Hawapendi niwe nawe
Hawataki niwe nawe
Nawe nawe, nawe nawe, nawe

Hawapendi niwe nawe
Hawataki niwe nawe
Hawapendi niwe na
Nawe na nawe na, nawe

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Hawataki (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

K2GA

Tanzania

K2GA is a Tanzanian singer and songwriter  signed under KINGS MUSIC label. ...

YOU MAY ALSO LIKE