Wenge Lyrics
(It's S2kizzy beiby)
Ua la moyo limeshachelewa
Furaha yangu wewe na unajua
Ninapokupenda wee
Kama roho yangu
Popote nitapokwenda
Uwe pembeni yangu
Nitapunguza wenge wenge
Mmmh wenge wenge
Aah wenge wenge
Mmmh wenge!
Nitapunguza wenge wenge
Mmmh wenge wenge
Aah wenge wenge
Mmmh wenge, nitapunguza
Najua we hupendi wakituona
Twapatapo raha
Nasi twaendana na wanaona
Tunapendana sana
Ninapokupenda wee
Kama roho yangu
Popote nitapokwenda
Uwe pembeni yangu
Nitapunguza wenge wenge
Mmmh wenge wenge
Aah wenge wenge
Mmmh wenge!
Nitapunguza wenge wenge
Mmmh wenge wenge
Aah wenge wenge
Mmmh wenge! Nitapunguza
Kama nyota na mwezi
Tunaridhi penzi letu
(Kwa Mix Lizer)
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Wenge (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
MIMI MARS
Tanzania
Mimi Mars ( Marianne Mdee) is a singer and song writer from Tanzania. ...
YOU MAY ALSO LIKE