Home Search Countries Albums

Unikome

MZEE WA BWAX

Unikome Lyrics


Amini kamba mzee wa Bwax
Hapa mtoto wa nje ya ndoa
Ugoko wa mende biskuti ya chuma
Kata tuone chuma kwa chuma cheche

Mi nasema we dada naomba unikomee
Mtoto wa mwenzio
Namba unayopiga hipatikani
Hebu mpe kimeo

Mi nasema we dada naomba unikomee
Mtoto wa mwenzio
Namba unayopiga hipatikani
Hebu mpe kimeo

Ah we dada unaniboa
Hapa kwangu umenoa
Na mtaani kote wanakujua
Bingwa wa kusasambua

Unajikuta wa masaji
We kumbe wa uswahilini
We kidemu cha mwendo kasi
Mi nikutake unanini?

Wewe unapenda kudanga
Wanakuita paka la baa
Umegombanisha mabwana 
Mtaani umezua balaa

Eti pochi kubwa haina hela
Ndani ina vipodozi
Habari zako ninazo
We dada unatumia dozi

Mmmh juzi umenikopa losheni
Unaongoza kwa madeni
Ah we dada unapenda vibenteni
Kwenye shughuli utunze bosheni(Mamaaa)

Mi nasema we dada naomba unikomee
Mtoto wa mwenzio
Namba unayopiga hipatikani
Hebu mpe kimeo

Mi nasema we dada naomba unikomee
Mtoto wa mwenzio
Namba unayopiga hipatikani
Hebu mpe kimeo

Ah we dada unaniboa
Hapa kwangu umenoa
Na mtaani kote wanakujua
Bingwa wa kusasambua

Ah vigodoro havikupiti we ni noma
Nasi tuna sare mpya za vigoma
Nasikia ukipata bwana unamuendea kwa sangoma
Na mi mwenyewe kwetu nimeaga usinichukulie poa

Oooh amini kwamba mzee wa Bwax
Hapa mtoto wa nje ya ndoa
Ugoko wa Mende biskuti ya chuma
Kata tuone we malota mama

We mbele kidogo ayii
We nyuma kidogo
Katikati kidogo(Mama)
Pembeni kidogo

Kama vipi ilete
Haisomeki ilete
Taratibu ilete ilete

Ifinyie kwa ndani
Ilete umo umo ilete
We mama ilete ayii ilete
Taratibu, orara rire rara..

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Unikome (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MZEE WA BWAX

Tanzania

Mzee wa Bwax is a Tanzanian artist. ...

YOU MAY ALSO LIKE