Unitoke Lyrics
Oooh yeah yeah yeah
Oooh yeah yeah yeah
Ni vibaya
Kumbato na busu ndo vya kunidanganyia
Nami niamini napendwa kwenye dunia
Ili nikigeuza shingo unanifikiria
Mbona nikipiga simu hutaki kupokeaga
Sina dhamana, sijakuzaa
Una maamuzi yako kumpenda anayekufaa
Ningejaliwa mali ningekupaa
Usiwaze mwingine tena
Unipende tu mi dada
Umenikoleza nami nimekolea
Nikajua na moyo utatulia
Kwenye jamvi eeh(aaah)
Sikuja kwako umenijikulia
Kilio na furaha dear
Nikaweka kambi eee(aaah)
Nitafanya ninachoweza
Ili unitoke kwenye akili yangu
Na moyo wangu, unitokee
Kama muda nimeshapoteza
Ili unitoke kwenye akili yangu
Na moyo wangu, unitokee
Unitokee...(aaah)
Siwezi kujidanganya
Najua wanichanganya
Zangu wamenizidi uchungu
Huwa nakuona
Mara nyingi ukiongea naye
Natamani nianzishe mavurugu
Sina dhamana, sijakuzaa
Una maamuzi yako kumpenda anayekufaa
Ningejaliwa mali, ningekupaa
Usiwaze mwingine tena
Unipende tu mi dada
Umenikoleza na mimi kolea
Nikajua na moyo utatulia
Kwenye jamvi eeh(aaah)
Sikuja kwako umenijikulia
Kilio na furaha dear
Nikaweka kambi eee(aaah)
Nitafanya ninachoweza
Ili unitoke kwenye akili yangu
Na moyo wangu, unitokee
Kama muda nimeshapoteza
Ili unitoke kwenye akili yangu
Na moyo wangu, unitokee
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2019
Album : Unitoke
Copyright : All rights to the owner.
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
IBRAH NATION
Tanzania
Ibrah Nation is a recording artist, song writer and composer from Tanzania. ...
YOU MAY ALSO LIKE