Home Search Countries Albums

Kubali Lyrics


Young legendary
One time for my beiby
Wooah aah yeah, aah

Kama ukikubali 
Kila kitu nitakuweka wazi
Ukikubali 
Nikupeleke kwa wazazi, yeah

Aaah... 
Nitafurahi kama ukikubali
Nitafurahi kama ukikubali

Ukikubali, bali
Nitafurahi kama ukikubali
Ukikubali, bali
Nitafurahi kama ukikubali

Aaah... 
Nitafurahi kama ukikubali yeah 
Nitafurahi kama ukikubali, yeah

Kivipi niumie?
Wakati we unajua kunibembeleza
Ukitaka nitulie 
Nipe love, nitakudekeza

Jua mapenzi kikohozi(aah)
Na kuyaficha mi siwezi, yeah

Na wewe unapotezea 
Hupendi nikikuambia
Mwenzangu unacho ng'ang'ania
Tuwe marafiki yeah

Nitawezaje mama?
Wakati unanipenda sana
Na mimi nakupenda sana
Tunadhulumu nafsi

Kama ukikubali 
Kila kitu nitakuweka wazi
Ukikubali 
Nikupeleke kwa wazazi 

Ukikubali, bali
Nitafurahi kama ukikubali
Ukikubali, bali
Nitafurahi kama ukikubali

Aaah... 
Nitafurahi kama ukikubali yeah 
Oooh, nitafurahi kama ukikubali

Kwako mi ni kilaza
Sina pause, sina swagga
Vipi ma ukinimwaga?
Nitaumia nitaumia

Mi bahari yako nimezama 
Oooh baby mama
Usije ona kama 
Mpita njia, mpita njia

Jua mapenzi kikohozi
Aaah...
Na kuyaficha mi siwezi
Aaah...

Kama ukikubali 
Kila kitu nitakuweka wazi
Ukikubali 
Nikupeleke kwa wazazi 

Ukikubali, bali
Nitafurahi kama ukikubali
Ukikubali, bali
Nitafurahi kama ukikubali

Aaah... 
Nitafurahi kama ukikubali yeah 
Oooh, nitafurahi kama ukikubali, yeah

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Kubali (Single)


Copyright : All rights to the owner.


Added By :

SEE ALSO

AUTHOR

IBRAH NATION

Tanzania

Ibrah Nation is a recording artist, song writer and composer from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE