Home Search Countries Albums

Malkia Lyrics


Ibrah Nation - Malkia Lyrics

Baby ile siku nakuona
Na nikakuomba 
Namba yako,ooh

Hata usiku sijaota
Kwamba siku moja
Nitakuwa wako wa milele

I wonder baby, 
Mpaka leo
Sijawahi kuwaza kukuwacha

I wonder baby 
Mpaka leo hii
Usiku na mchana ni wewe nakuwaza 

Na umenifuta mimi machozi
Nilolia kwa mapenzi, oooh
Umenisahaulisha mengi
Nina imani nitakuenzi

We ni malkia, we ni malkia 
Kwenye falme ya mapenzi yangu, malkia
We ni malkia, we ni malkia 
Oooh malkia

Naomba Mola abariki maana
Mitihani pia ni mingi, oooh haya 
Tukimaliza vigingi, beiby 
Tutasherehekea ushindi, haya

Yalopita sio ndwele
Yanayokuja yahusu mapenzi yetu
Kila siku nawaza 
Kulilinda penzi letu

Kama unavyojua
Moyo wangu umeamua
Umeamua, kutulia 
Na penzi langu usije ugua

My love semaga
Nini kinakukwaza?
Nataka tujenge love, oooh

Ooh mama 
Sometimes, huwa nakoseaga(koseaga)
Kama binadamu nisamehe(nisamehe)

We ni malkia, we ni malkia 
Kwenye falme ya mapenzi yangu, malkia
We ni malkia, beiby malkia 
Kwenye falme ya mapenzi yangu, malkia

We ni malkia, we ni malkia 
Kwenye falme ya mapenzi yangu, malkia
Malkia, malkia 
Kwenye falme ya mapenzi yangu, malkia

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Malkia (Single)


Copyright : All rights to the owner.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

IBRAH NATION

Tanzania

Ibrah Nation is a recording artist, song writer and composer from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE