Home Search Countries Albums

Penzi Lako

IBRAH NATION

Penzi Lako Lyrics


Hatuwezi kuachana kirahisi hivi
Baby walimwengu wana visa vingi
Najua unanipenda
Na mimi nakupenda sana maaa baby
Hatuwezi kuachana kirahis shawty

Baby najua unampango wa kando
Unanizingua unaharibu mipango
Promises huwa maumivu zikivunjika
Bado sijajua why unaondoka unakwenda ng`ambo
Mbona siku kama hizi ulinionesha upendo
Sikua na ajizi nikakuamini commando
Unang`oa mizizi unakatisha pendo
Hata kwa irizi huwezi ukaliziba hili pengo ooh yeah
Hatuwezi kuachana kirahisi hivi
Baby walimwengu wana visa vingi yeah

Penzi lako maua maua
Moyoni lanukia nukia
Mbona unani bagua bagua
Maumivu hujayatambua
Penzi lako maua maua
Moyoni lanukia nukia
Mbona unani bagua bagua
Maumivu hujayatambua

Hauwezi kuondoka kirahisi hivi
Baby ujue tumepanga vingi
Najua unanipenda
Na mimi nakupenda sana baby
Hauwezi kuondoka kirahisi shawty
Hata hatuja gombana
Hata hatuja kunjana baby
Hatuja fumaniana
Nashangaa sura yako inakunjamana mama
Mbona siku kama hizi
Ulinionesha upendo
Sikua na ajizi nikakuamini commando
Unang`oa mizizi unakatisha pendo
Hata kwa irizi huwezi ukaliziba hili pengo ooh yeah
Hatuwezi kuachana kirahisi hivi
Baby walimwengu wana visa vingi yeah

Penzi lako maua maua
Moyoni lanukia nukia
Mbona unani bagua bagua
Maumivu hujayatambua
Penzi lako maua maua
Moyoni lanukia nukia
Mbona unani bagua bagua
Maumivu hujayatambua

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Penzi Lako (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

IBRAH NATION

Tanzania

Ibrah Nation is a recording artist, song writer and composer from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE