Penzi Lako Lyrics

Hatuwezi kuachana kirahisi hivi
Baby walimwengu wana visa vingi
Najua unanipenda
Na mimi nakupenda sana maaa baby
Hatuwezi kuachana kirahis shawty
Baby najua unampango wa kando
Unanizingua unaharibu mipango
Promises huwa maumivu zikivunjika
Bado sijajua why unaondoka unakwenda ng`ambo
Mbona siku kama hizi ulinionesha upendo
Sikua na ajizi nikakuamini commando
Unang`oa mizizi unakatisha pendo
Hata kwa irizi huwezi ukaliziba hili pengo ooh yeah
Hatuwezi kuachana kirahisi hivi
Baby walimwengu wana visa vingi yeah
Penzi lako maua maua
Moyoni lanukia nukia
Mbona unani bagua bagua
Maumivu hujayatambua
Penzi lako maua maua
Moyoni lanukia nukia
Mbona unani bagua bagua
Maumivu hujayatambua
Hauwezi kuondoka kirahisi hivi
Baby ujue tumepanga vingi
Najua unanipenda
Na mimi nakupenda sana baby
Hauwezi kuondoka kirahisi shawty
Hata hatuja gombana
Hata hatuja kunjana baby
Hatuja fumaniana
Nashangaa sura yako inakunjamana mama
Mbona siku kama hizi
Ulinionesha upendo
Sikua na ajizi nikakuamini commando
Unang`oa mizizi unakatisha pendo
Hata kwa irizi huwezi ukaliziba hili pengo ooh yeah
Hatuwezi kuachana kirahisi hivi
Baby walimwengu wana visa vingi yeah
Penzi lako maua maua
Moyoni lanukia nukia
Mbona unani bagua bagua
Maumivu hujayatambua
Penzi lako maua maua
Moyoni lanukia nukia
Mbona unani bagua bagua
Maumivu hujayatambua
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Penzi Lako (Single)
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
IBRAH NATION
Tanzania
Ibrah Nation is a recording artist, song writer and composer from Tanzania. ...
YOU MAY ALSO LIKE