Home Search Countries Albums

Tabibu Lyrics


Tatizo ni nini mama,mbona hatuelewani
Umerudi usiku saana,na umeletwa na nani
swali ni rahisi saana, unazunguka tu
Ukishindwa unatukana na kununa juu

Natamani turudi enzi
Ulizoniitaga my darling
usiku unaniita tulale nikukumbatie
Nakumbuka yale mapenzi
Yalionifanya nisiwaze
Leo umenizoea unaniona mi fala wee

[CHORUS]
Naona kama nikuache... Tabibu wangu
Labda nikiondoka ndo utajua... Umuhimu wangu
Naona kama nikuachilie... Tabibu wangu
Labda nikiondoka ndo utajua... Umuhimu wangu

Siumeshajua unapendwa basi ndo nongwa
Visa mikasa haviishi kunizonga
Hata nijikome kwa zawadi najiroga
Pesa ntarudishiwa, nguo nitapondwa

Natamani turudi enzi
Ulizoniitaga my darling
Usiku unaniita tulale nikukumbatie
Nakumbuka yale mapenzi
Yalionifanya nisiwaze
Leo umenizoea unaniona fala wee

[CHORUS]
Naona kama nikuache... Tabibu wangu
Labda nikiondoka ndo utajua... Umuhimu wangu
Naona kama nikuachilie... Tabibu wangu
Labda nikiondoka ndo utajua... Umuhimu wangu

By show, I love you baby
Nilivyokufa kwako, Utanipa uchizi
Momy love, unashindwa kuniface
Unieleze tatizo unanidiscussi
Yeaaaah… Momy love

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2018


Album : Tabibu (Single)


Added By : Afrika Lyrics

SEE ALSO

AUTHOR

IBRAH NATION

Tanzania

Ibrah Nation is a recording artist, song writer and composer from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE