Home Search Countries Albums

Sawa Lyrics


Ni sawa hata nikipata ni sawa
Ni sawa hata nikikosa Inshallah
Ni sawa anayetoa ni Mola
Ni sawa oooh ni sawa

Kabla usiku kulala, Mola namuomba sana
Nafanya dua kwa sala aah, kesho niweze kuiona 
Anipe na afya bora, tena nizidi pambana
Aniepushe misala, ooh nisirudi nyuma

Anitunzie na riziki yangu
Masikini nitapata
Anilindie na mama yangu
Na mi nizidi mkumbuka

Binadamu fahamu
Tumeumbiwa matatizo
Hakuna chungu na tamu
Aiyee eh eh

Ni sawa hata nikipata ni sawa
Ni sawa hata nikikosa Inshallah
Ni sawa anayetoa ni Mola
Ni sawa oooh ni sawa

Uniepushe mabaya dunia mbele yasije nikumba
Napiga goti kwa uchungu nalia, uninusuru muumba
Katu nisikate tamaaa niende kutafuta tonge
Anipatia ah nilale njaa moyo niupige konde

Anitunzie na riziki yangu
Masikini nitapata
Anilindie na mama yangu
Na mi nizidi mkumbuka

Binadamu fahamu
Tumeumbiwa matatizo
Hakuna chungu na tamu
Aiyee eh eh

Ni sawa hata nikipata ni sawa
Ni sawa hata nikikosa Inshallah
Ni sawa anayetoa ni Mola
Ni sawa oooh ni sawa

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Sawa (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

HAMIS BSS

Tanzania

Hamis Bss is a singer/guitarist from Tanzania. He was among the participants at Bongo ...

YOU MAY ALSO LIKE