Home Search Countries Albums

Blue

MR BLUE Feat. NANDY

Blue Lyrics


 B-L-U-E
 B-L-U-E
 B-L-U-E
 B-L-U-E

Mpenzi nipe karatasi
Niandike hizi habari
Habari za maisha ya game,
Maisha yote ya safari
Maisha ya hatari
Maisha ya shari
Piga kabali

Leo nitasema mengi,
Halitatosha hili daftari?
Asubuhi kumekucha najikuta kwenye music
Gain all lane hakuna tena pa ku luzi
Rada line kila angle

Nasimama ka Nyerere
Nikifa hauzibi pengo
Daddy ananiita malengo
Mdogo kiumbo akili kama tembo
Busy Babylon Bongo
Msudani namsalamu
Kichwani ni sifa nengo

Kumi na tatu ni miaka,
Yote nipo kwenye game
Usiniulize navyo kunda raha
Uliza pia msoto
So ukinikuta kwenye starehe na madem unanifuata
Alafu unaniuliza habari za changamoto

Game nilianza mtoto,
Leo nina watoto,
Mi ni mtoto nilifanya watoto wajue soko
Kama sifa zangu zipo
Na hamtaki kuzungumzia nitatulia
Mwanaume hashindani na sidiria
 
B-L-U-E(come on come on)
B-L-U-E(say my name, say my name girl)
B-L-U-E(Busy Babylon,Busy Babylon)
B-L-U-E(eeh eeh iyee)

Ni Sammy Rajab,nambari moja shule
Sikuamini kama somo niliyatupa kulee
Asante Mola kwa music, mama kula tulee
Promota mkwanja kwanza show sifanyi buree

Kwa pamba za blue blue
Ma siter duu wakani kiss kiss
Shusha tabasamu kama umeni miss miss
Tuko pamoja Uswazi na mboga saba
Usipocheza mapozi ataicheza mama na baba

Mkiwa club si mnalewa tila lila
Na role model wenu si ni Babylon Killer
Msijifunge semeni uso kwa uso
Unaogopa ajali ya bodaboda na Fuso

Fanya business dada huwezi vadi
Ulinzi uko salama shaki tagi
Kama sifa zangu zipo na
Hamtaki kuzungumza nitatulia
Mwanaume hashindani na sidiria

Mapozi nawe

 B-L-U-E (come on come on)
 B-L-U-E (say my name, say my name girl)
 B-L-U-E (Busy Babylon, Busy Babylon)
 B-L-U-E (eeh eeh iyee)

 Busy Babylon...
 Busy Babylon...

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2018


Album : Blue (Single)


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MR BLUE

Tanzania

Khery Sameer Rajab popularly known as Mr Blue, is a Tanzanian RnB and Bogo Flava musician born on Ap ...

YOU MAY ALSO LIKE